Simba wasijiamini sana, wataaibika kwa Mkapa kwa sababu hizi

Simba wasijiamini sana, wataaibika kwa Mkapa kwa sababu hizi

BASIASI trust me SIMBA akishinda goli chache ni MBILI na huu si uchawi bali ni kutokana na hali halisi ya rekodi

Yanga WANAWEZA kutangulia kupata bao lakini hicho ndio kitakuwa kiama chao.
Umefeli vibaya bro
 
BASIASI trust me SIMBA akishinda goli chache ni MBILI na huu si uchawi bali ni kutokana na hali halisi ya rekodi

Yanga WANAWEZA kutangulia kupata bao lakini hicho ndio kitakuwa kiama chao.
Mshana Jr kawa Kama Kagere. Kiwango Chao kinashuka kwa Kasi Sana!
 
BASIASI trust me SIMBA akishinda goli chache ni MBILI na huu si uchawi bali ni kutokana na hali halisi ya rekodi

Yanga WANAWEZA kutangulia kupata bao lakini hicho ndio kitakuwa kiama chao.
Mzee wa Ndumba vp hali huko hahahaha
 
Ukitaka kujua manara ananyoosha uto. Walimwajiri Dismas ten wakaona hafai wakamleta bumbuli wakaona hatoshi wakamuongeza na nugaz bado kuna siku jerry muro nae kaibuka lakini wapi [emoji23][emoji23] timu ina wasemaji kibao
Wanashindwa kuendana na chizi
 
Ukitaka kujua manara ananyoosha uto. Walimwajiri Dismas ten wakaona hafai wakamleta bumbuli wakaona hatoshi wakamuongeza na nugaz bado kuna siku jerry muro nae kaibuka lakini wapi [emoji23][emoji23] timu ina wasemaji kibao
Hata ningekuwa mimi ndiye Hassan Bumbuli, nisingepoteza muda wangu kumkimbiza kichaa aliyechukua nguo zangu mtoni wakati naoga! Maana nitaonekana mimi ndiye kichaa badala ya yeye.

Haji Manara akili zake haziko sawa! Na huundiyo ukweli.
 
BASIASI trust me SIMBA akishinda goli chache ni MBILI na huu si uchawi bali ni kutokana na hali halisi ya rekodi

Yanga WANAWEZA kutangulia kupata bao lakini hicho ndio kitakuwa kiama chao.
Mpira umekushinda mkuu tabiri zako nyingi unaendaga chaka mbayaaaa! Poleeee endelea na lamli za siasa huko ndo angalau unaweza.
 
Back
Top Bottom