Simba wasijiamini sana, wataaibika kwa Mkapa kwa sababu hizi

Simba wasijiamini sana, wataaibika kwa Mkapa kwa sababu hizi

BASIASI trust me SIMBA akishinda goli chache ni MBILI na huu si uchawi bali ni kutokana na hali halisi ya rekodi

Yanga WANAWEZA kutangulia kupata bao lakini hicho ndio kitakuwa kiama chao.
Hahah mzee kama nakuona vile
 
Hamna kitu hii mechi Utopolo anapigwa tatu,kipindi cha kwanza Yanga anapigwa mapeema kabisa cha asubuhi,kipindi cha pili anapigwa viwili vya chuma mboga.

Anapewa kanga yake anajifuta kisha anapewa shuka afue asepe kwao.
Njoo utoe mrejesho sio wewe mkia fc mbumbumbu mzungu wa reli umefanyiwa hivyo haya fua shuka uendeee
 
Hamna kitu hii mechi Utopolo anapigwa tatu,kipindi cha kwanza Yanga anapigwa mapeema kabisa cha asubuhi,kipindi cha pili anapigwa viwili vya chuma mboga.

Anapewa kanga yake anajifuta kisha anapewa shuka afue asepe kwao.
Tena atapigwa mapema mno mkuu
 
giphy.gif


Sent using Jamii Forums mobile app
Bro kama ni mganga sukuizi wewe ni tapeli
 
BASIASI trust me SIMBA akishinda goli chache ni MBILI na huu si uchawi bali ni kutokana na hali halisi ya rekodi

Yanga WANAWEZA kutangulia kupata bao lakini hicho ndio kitakuwa kiama chao.
Kwani mzizi haufanyi kazi siku hizi?
 
BASIASI trust me SIMBA akishinda goli chache ni MBILI na huu si uchawi bali ni kutokana na hali halisi ya rekodi

Yanga WANAWEZA kutangulia kupata bao lakini hicho ndio kitakuwa kiama chao.
Kaziiiiendeleeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

Screenshot_20210704-112438.png


Screenshot_20210704-111052.png


Screenshot_20210704-110929.png


Screenshot_20210704-111037.png


Screenshot_20210704-110913.png


Screenshot_20210704-110621.png


Screenshot_20210704-110925.png


Screenshot_20210704-110559.png


Screenshot_20210704-110543.png


Screenshot_20210704-105827.png


Screenshot_20210704-105057.png


Screenshot_20210704-105028.png


Screenshot_20210704-105014.png


Screenshot_20210704-101033.png
 
BASIASI trust me SIMBA akishinda goli chache ni MBILI na huu si uchawi bali ni kutokana na hali halisi ya rekodi

Yanga WANAWEZA kutangulia kupata bao lakini hicho ndio kitakuwa kiama chao.
🚴🚴🏿‍♂️🚴🚴
 
Back
Top Bottom