Tate Mkuu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 33,092
- 96,127
Kiboko ya nani huyo mvuta bangi! Labda kiboko wa prisca Kishamba wa Clouds media. Hakuna mwananchi anayemuogopa, wala kumhofia huyu Mbulukenge wenu.Uyo ndo kiboko yenu mnalia lia tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kiboko ya nani huyo mvuta bangi! Labda kiboko wa prisca Kishamba wa Clouds media. Hakuna mwananchi anayemuogopa, wala kumhofia huyu Mbulukenge wenu.Uyo ndo kiboko yenu mnalia lia tu
Wananch hao hao ndo wanaongoza kutoa mapovu huko mitandaoni kwamba afunguiweKiboko ya nani huyo mvuta bangi! Labda kiboko wa prisca Kishamba wa Clouds media. Hakuna mwananchi anayemuogopa, wala kumhofia huyu Mbulukenge wenu.
Ifikie wakati tuwe kama wenzetu wa dunia ya kwanza. Msemaji wa timu ni Meneje/ mwalimu/kocha wa timu.Wananch hao hao ndo wanaongoza kutoa mapovu huko mitandaoni kwamba afunguiwe
Kila taifa lina utamaduni wake sisi kibongo bongo ndio tuko hivo afu sio kila kitu tuinge mbona tunaenda vizuriIfikie wakati tuwe kama wenzetu wa dunia ya kwanza. Msemaji wa timu ni Meneje/ mwalimu/kocha wa timu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hamna kitu hii mechi Utopolo anapigwa tatu,kipindi cha kwanza Yanga anapigwa mapeema kabisa cha asubuhi,kipindi cha pili anapigwa viwili vya chuma mboga.
Anapewa kanga yake anajifuta kisha anapewa shuka afue asepe kwao.
Yaani timu ilikupa mbeleke ya kushiriki CAF ni takataka? 🤣🤣🤣Simba ni takataka tu kikundi cha wahuni hamnamo timu pale makelele tu na kujifanya wana pesa huku mo akiwapiga ameshindwa kuupa uwanja jina la timu!
Tunza hu mkojo.tukiomba ukojoe Tena usitesekeHamna kitu hii mechi Utopolo anapigwa tatu,kipindi cha kwanza Yanga anapigwa mapeema kabisa cha asubuhi,kipindi cha pili anapigwa viwili vya chuma mboga.
Anapewa kanga yake anajifuta kisha anapewa shuka afue asepe kwao.
Yanga ni kundi la nyani tuSimba ni takataka tu kikundi cha wahuni hamnamo timu pale makelele tu na kujifanya wana pesa huku mo akiwapiga ameshindwa kuupa uwanja jina la timu!
Tabiri zako kwenye soka hazijawahi kufanikiwa hata siku MOJABASIASI trust me SIMBA akishinda goli chache ni MBILI na huu si uchawi bali ni kutokana na hali halisi ya rekodi
Yanga WANAWEZA kutangulia kupata bao lakini hicho ndio kitakuwa kiama chao.
"kiufundi" nini kilitokea mkuu hadi mambo yakawa ndivyo sivyo mkuu??BASIASI trust me SIMBA akishinda goli chache ni MBILI na huu si uchawi bali ni kutokana na hali halisi ya rekodi
Yanga WANAWEZA kutangulia kupata bao lakini hicho ndio kitakuwa kiama chao.
Tabiri zako kwenye soka hazijawahi kufanikiwa hata siku MOJA
Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app