Nimefatilia hili, ni kweli Yanga walipewa milioni 20 pamoja na kufungwa na USMA.Hakupewa pesa achana na wazushi hao. Tangu msimu uliopita ilitangazwa timu ikishinda na ilisisitizwa hivyo. Shindeni mechi acheni janja janja.
Uelewa wako ndio mdogo akuna sehemu waliyosema icho unachokisema hapo, walisema timu ikishinda ndio unapata iyo pesa na sio vinginevyo, alafu Mama sio fara kiivyo unavyodhani Ile kuweka milioni kumi alijua amtolamba ata mia yake kwakuwa uwezo wa kumfunga Aly ahly alijua amtothubutu na pesa yake itabaki kwenye mikono salama ikasaidie mambo mengine!Mama alitangaza goli moja sh mil 10. Bila kusema kwamba hiyo hela ni timu ikishinda tu, baada ya kuona simba imeshinda magoli mawili Msigwa akatangaza hela ni timu ikishinda tu.
Tunajua mama ni Yanga ndo maana amegoma kutoa hela kwasababu simba haikushinda. Mashindano mengine yapo huo ni udhalilishaji Kwanza mil 10 hela gani kwa timu kama Simba.
Ingekuwa vizuri hata kwenye mashindano yoyote simba ikishinda wasiende kupokea hiyo hela wapuuzie tu.
Unasema unanunua goli halafu hukuweka vigezo baadaye unasema hawakushinda.
elimu elimu elimu x 100Mama alitangaza goli moja sh mil 10. Bila kusema kwamba hiyo hela ni timu ikishinda tu, baada ya kuona simba imeshinda magoli mawili Msigwa akatangaza hela ni timu ikishinda tu.
Tunajua mama ni Yanga ndo maana amegoma kutoa hela kwasababu simba haikushinda. Mashindano mengine yapo huo ni udhalilishaji Kwanza mil 10 hela gani kwa timu kama Simba.
Ingekuwa vizuri hata kwenye mashindano yoyote simba ikishinda wasiende kupokea hiyo hela wapuuzie tu.
Unasema unanunua goli halafu hukuweka vigezo baadaye unasema hawakushinda.
Upo sahihi mkuu ni kweli walipewa, nimejiridhisha katika hili.Nimetoka kusema kitu kama hiki ila Vyura wamenishambulia sana huko juu
Mwanzo alikuwa ananunua goli haijalishi matokeo, ila sasahivi anaangalia na ushindi piaYanga kwenye mechi na USM alger ahadi ilikuwa kama hiyo endapo yanga akishinda mechi kila holi milioni kadhaa, yanga akabanduliwa 2-1 kwa mkapa na bado akapewa hela
Vigezo vimebadilika kuanzia msimu huuUpo sahihi mkuu ni kweli walipewa, nimejiridhisha katika hili.
Hakuna sintofahamu yoyote bali vigezo vimebadilikaUnaposema mama ni Yanga nakuelewa vizuri. Kwa sababu ni yeye mwenye alisema kuwa magoli yatakayonunuliwa ni yale yaliyosababisha timu kushinda na kupata alama 3.
Lakini ikawa tofauti kwa Yanga. Yanga alipigwa kwenye mechi mbili kwa moja lakini alipewa hela. Hapo kuna sintofahamu.
Uwe una fuatilia kabla hujabishaMwanzo alikuwa ananunua goli haijalishi matokeo, ila sasahivi anaangalia na ushindi pia
Shukrani sana mkuuUpo sahihi mkuu ni kweli walipewa, nimejiridhisha katika hili.
Sawa tumesusia kachulueni nyie mwiko nyumaMama alitangaza goli moja sh mil 10. Bila kusema kwamba hiyo hela ni timu ikishinda tu, baada ya kuona simba imeshinda magoli mawili Msigwa akatangaza hela ni timu ikishinda tu.
Tunajua mama ni Yanga ndo maana amegoma kutoa hela kwasababu simba haikushinda. Mashindano mengine yapo huo ni udhalilishaji Kwanza mil 10 hela gani kwa timu kama Simba.
Ingekuwa vizuri hata kwenye mashindano yoyote simba ikishinda wasiende kupokea hiyo hela wapuuzie tu.
Unasema unanunua goli halafu hukuweka vigezo baadaye unasema hawakushinda.
Hovyo kabisa. Kwahiyo Simba ingefungwa 5 -3 ndiyo ipewe 30 million akili za hovyo kabisa. Pesa hazipatikani kirahisi hivyo.Mama alitangaza goli moja sh mil 10. Bila kusema kwamba hiyo hela ni timu ikishinda tu, baada ya kuona simba imeshinda magoli mawili Msigwa akatangaza hela ni timu ikishinda tu.
Tunajua mama ni Yanga ndo maana amegoma kutoa hela kwasababu simba haikushinda. Mashindano mengine yapo huo ni udhalilishaji Kwanza mil 10 hela gani kwa timu kama Simba.
Ingekuwa vizuri hata kwenye mashindano yoyote simba ikishinda wasiende kupokea hiyo hela wapuuzie tu.
Unasema unanunua goli halafu hukuweka vigezo baadaye unasema hawakushinda.
Una uwanja wewe wakucheza huo mpira?Kwanza hatakiwi ingilia mpira wetu
Sasa ni timu gani ya Tanzania ilifanikiwa kuleta kombe lenye rank ya pili kwa vilabu afrika lishindaniwe uwanjani ?Nimefatilia hili, ni kweli Yanga walipewa milioni 20 pamoja na kufungwa na USMA.
View: https://m.youtube.com/watch?v=_Fl4K8uQL0M
Kula pesa ya mama inabidi utumie akili sana, ...Mama alitangaza goli moja sh mil 10. Bila kusema kwamba hiyo hela ni timu ikishinda tu, baada ya kuona simba imeshinda magoli mawili Msigwa akatangaza hela ni timu ikishinda tu.
Tunajua mama ni Yanga ndo maana amegoma kutoa hela kwasababu simba haikushinda. Mashindano mengine yapo huo ni udhalilishaji Kwanza mil 10 hela gani kwa timu kama Simba.
Ingekuwa vizuri hata kwenye mashindano yoyote simba ikishinda wasiende kupokea hiyo hela wapuuzie tu.
Unasema unanunua goli halafu hukuweka vigezo baadaye unasema hawakushinda.
Sijakuelewa swali lako uliza vizuri nikueleweSasa ni timu gani ya Tanzania ilifanikiwa kuleta kombe lenye rank ya pili kwa vilabu afrika lishindaniwe uwanjani ?