Simba watakutana na Al Masry ya Egypt

Simba watakutana na Al Masry ya Egypt

Al masry wenyewe hawaamin...wanalia na kusaga meno...wanajiuliza imekuwaje wakapangiwa timu ngumu kama ile.....
Simba ni miongoni mwa timu tishio barani Afrika..lazma waje kwa tahadhari kubwa....enyi wapiga kelele endeleeni kubwatuka, ila UBAYA UBWELA uko palepale....we are on the way to the fainal...hatuogopi mwarabu wara muhindi,, no body can stop simba sc toward the final stage..
 
Hapa ndo ukisikia mtu mzima kusumbuka

Sisi wanasimba tulihitaji kale katimu ka South Africa Sasa tumepewa mwarabu

Kama Simba ataingia semi final atakutana na Zamalek au Stelleboch 🤣😅
Kimeumana

Hii imeniuma, GSM anahujumu hadi huko CAFCC
Yanga wao hawamo?.
 
lakini mnakaribishwa kuja kujifunza..maana simba ni zaidi ya darasa kwenu..naona waarabu bado mnawaogopa sana..
😂🤣😅 Yaani Yanga iliyocheza CAFCL ikajifuze shirikisho kwenye mashindano ya akina mama
 
Robo faunal 6 hakuna hata moja waliowahi kufuzu .... Wao ni mwakarobo over!!.😂😂
 
Waarabu wanaiheshimu Simba

1000053898.jpg
 
Mbona haujasema kombe la kina mama? Ghafla mashindano yamekuwa magumu kwako.
1. Yanga ilicheza mpaka fainali ya wakina mama
2. Ilivaa mpaka medali ya wakinamama
3. Ilitengeneza mpaka documentary kuonesha yeye ndiyo mama mkubwa Tanzania nzima
4. Kwenye makao makuu ya soka, iliandaa sherehe ya kunywa supu kujipongeza yeye ndiyo mama bora kuliko wote Tanzania.
Aliyeeita Young Africans utopolo a.k.a mwakakikundi hakukosea
Wewe mama mkubwa, umepangwa kwenye makundi gani?😀😀😀😀
Huwa mnajitoa ufahamu. Mgechukua na kombe la wakinamama leo Young Africans mngekuwa pisi kali.😀😀😀
 
Back
Top Bottom