Simba watakutana na Al Masry ya Egypt

Robo faunal 6 hakuna hata moja waliowahi kufuzu .... Wao ni mwakarobo over!!.πŸ˜‚πŸ˜‚
Unafikiri robo ni ya mchezo mchezo mwakakikundi? Simba kucheza robo kawaida. Sasa nyie mnaishia makundi tuπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Tupo kwenye ligi ya akina mama ambayo
1. Yanga alicheza mpaka fainal
2. Alivaa medali za kinamama
3. Alitengeneza documentary kuonesha yeye ni mama bora
Robo siyo mchezo, pamoja na kuwa na wanacheza wote meishia makundi. Ingekuwa Simba uhakika 100% robo
Umepangwa na timu gani mtani au ndiyo umeishia makundi?πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
kwanza kupigizana kelele na mtu aliyeshindwa, ni matumizi mabaya ya mda....vyura fc endeleeni kulopoka, sisi ngoja tusubilie mech..hata hivyo tarehe 2 mwez wa 4 sio mbali sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…