njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
Hili suala lichukuliwe serious nawaomba jamani, kina try again fanyieni kazi, leo mmeona wazi ndugu Aragija alivyojizima data akajifanya mwendawazimu hata kale ka nyumba chake huko manyara atakamalizia sasa.
Suala la technics, sijui tactics wekezeni kwa ajili ya michezo ya CAF kwa huku NBC tengeni fungu kubwa la bahasha ikibidi katoeni kwenye zile pesa za MBET.
Ubaya ubaya tu, ni kumwaga mpunga kwa marefa, wasaidizi wake hadi ma ball boys, LIWALO NA LIWE KUDAAADEEEKI.
Ikibidi pia na wachambuzi makanjanja njaa nao wapewe bahasha si mmeona leo wanavyomtetea Aragija?bahasha za Pwagu hizo zinaongea, MWAGA MAPESA MWAGA MAPEEEESAAAAAAAAAAA
Suala la technics, sijui tactics wekezeni kwa ajili ya michezo ya CAF kwa huku NBC tengeni fungu kubwa la bahasha ikibidi katoeni kwenye zile pesa za MBET.
Ubaya ubaya tu, ni kumwaga mpunga kwa marefa, wasaidizi wake hadi ma ball boys, LIWALO NA LIWE KUDAAADEEEKI.
Ikibidi pia na wachambuzi makanjanja njaa nao wapewe bahasha si mmeona leo wanavyomtetea Aragija?bahasha za Pwagu hizo zinaongea, MWAGA MAPESA MWAGA MAPEEEESAAAAAAAAAAA