Simba, wekezeni kisoka michezo ya CAF. Huku NBC tuhonge pesa tu kama wengine

Simba, wekezeni kisoka michezo ya CAF. Huku NBC tuhonge pesa tu kama wengine

njaakalihatari

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2019
Posts
4,081
Reaction score
8,671
Hili suala lichukuliwe serious nawaomba jamani, kina try again fanyieni kazi, leo mmeona wazi ndugu Aragija alivyojizima data akajifanya mwendawazimu hata kale ka nyumba chake huko manyara atakamalizia sasa.

Suala la technics, sijui tactics wekezeni kwa ajili ya michezo ya CAF kwa huku NBC tengeni fungu kubwa la bahasha ikibidi katoeni kwenye zile pesa za MBET.

Ubaya ubaya tu, ni kumwaga mpunga kwa marefa, wasaidizi wake hadi ma ball boys, LIWALO NA LIWE KUDAAADEEEKI.

Ikibidi pia na wachambuzi makanjanja njaa nao wapewe bahasha si mmeona leo wanavyomtetea Aragija?bahasha za Pwagu hizo zinaongea, MWAGA MAPESA MWAGA MAPEEEESAAAAAAAAAAA

pesa.JPG
 
Nakubaliana na wewe kabisa .. huku ni pesa tuu , aragija anakula pesa sana hasa uto . Na anafanya kazi haswa [emoji1]
ni ujinga tu halafu wanaoweka mada kwenye vipindi vyao za HIVI AZAM INAFELI WAPI NA UWEKEZAJI WOTE ULE? leo ndiyo wako bize kumtetea Aragija
pesa zimwage tu hadi kwa makanjanja, ubayaubaya ,machambuzi yapate bahasha pande zote mbili hadi yachanganyikiwe
 
ni ujinga tu halafu wanaoweka mada kwenye vipindi vyao za HIVI AZAM INAFELI WAPI NA UWEKEZAJI WOTE ULE? leo ndiyo wako bize kumtetea Aragija
pesa zimwage tu hadi kwa makanjanja, ubayaubaya ,machambuzi yapate bashasha pande zote mbili hadi yachanganyikiwe
Huyu huyu Arajiga aliyemwacha Bajana bila red card kwa rafu za wazi ndo amehongwa? Wewe kweli una njaa. Nawaambia lawama zangu kwa marefa si kuhongwa isipokuwa hawajui wanachokifanya. Ukiuliza kwa nini Dube kanyimwa penati anasema ilikuwa fair challenge.
 
Huyu huyu Arajiga aliyemwacha Bajana bila red card kwa rafu za wazi ndo amehongwa? Wewe kweli una njaa. Nawaambia lawama zangu kwa marefa si kuhongwa isipokuwa hawajui wanachokifanya. Ukiuliza kwa nini Dube kanyimwa penati anasema ilikuwa fair challenge.
Naaam una mengine ya kuongezea ndugu mshtakiwa kabla sijasoma hukumu?
 
Salim try again BEBA HILI JUKUMU kama huliwezi mkabidhi Kassim Dewji au kaduguda, katoeni pesa za MBET hizo benki HONGENI KAMA WENGINE , hoooongaa hadi ma ball boys sambaza hadi kwa makanjanja machambuzi ya redio za wilayani,mikoani hadi redio zinazotangaza lugha asili...CHAFUA KILA MAHALA NA PESA
 
Apo ilipo Simba wamesha honga sana tatizo timu mbovu.
 
Back
Top Bottom