Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 13,481
- 28,116
Part aliyokuwa anaicheza Manara pale mkiani ni kubwa sana, hata mikia wenyewe wanalijua hilo sema wamechagua kwenda na mwenye pesa, siku ya mwananchi pale kwa Mkapa Manara atakuwa mgeni mwalikwa toka mkiani na tutampa mic hata kwa dk 5 apate kuwakera mikia 😂