rich1
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 3,020
- 3,309
Anaenda kuwa msemaji wa ndanda Fc.Manara ndo alinifanya niipende simba aise
Huyo babra tumepigwa,hakuna kiongozi hapo!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anaenda kuwa msemaji wa ndanda Fc.Manara ndo alinifanya niipende simba aise
Huyo babra tumepigwa,hakuna kiongozi hapo!
Uwepo wa Haji Manara HM ulichañgamsha sana soka la bongo na mashabiki wengi wa simba walitembea kifua mbele kwa sababu ya ujasiri wa Manara. Hii kitu italeta shida sana kwa club hii maana kumpata msemaji kama Manara itakuwa ngumu sana .[emoji16][emoji16][emoji16] Kuna watu mna akili za kijinga sana.....Zile kelele zake za kijinga ndio ziwazuie akina Chama, Miquissone, Bwalya wasi perform uwanjani kisa Haji hayupo.
Basi ntahamia hukohuko ndanda hakuna namna!Anaenda kuwa msemaji wa ndanda Fc.
Usifananishe mpira wa bongo na huko ulaya. Nafasi ya msemaji huko kwa wenzetu siyo muhimu sana kama huku kwetu. Kabla ya Manara kuja simba na baada ya manara kuja simba huoni kuna tofauti kubwa.Club kama ni kubwa hauhitaj mambo ya amasa..umesikia Man U au liver au Al alhly m2 wake wa amasa anaitwa nan..kinacho matter ni ubora wa team sio kupiga mdomo tu kama team ni bora ukishinda kwake ndo kutaleta amasa na sio vinginevyo.
Ladha kwa mashibik ni ushindi mkuu..haji anasaidia kupiga domo tu ambayo kwa mpr wa sasa hauna nafas kwa sbb sik iz uwekezaj mzr unakupa mafanikio...sikatai mchango wa Haji kuleta lbd fans uwanjan ivo lkn siioni namna gani simba itashuka kisa yy kuondoka..Haji ni m2 wa kawaida sana na hawez kua na impact ya matokeo kwa kuondoka kwake na mpr ni matokeo ndo furaha ya sisi mashabik na vikombe sio porojo.Unataka kusema Haji hakuwa na mchango wowote katika kuhakikisha mechi za kimataifa zinakuwa na ladha kwa mashabiki........Hatukatai Simba imempa jina Manara, ila Haji mchango wake umekua mkubwa sana kwenye kuleta hamasa kwa mashabiki
Kweli kabisa......ila tusiombe ligi ikapoa kama ya KenyaLadha kwa mashibik ni ushindi mkuu..haji anasaidia kupiga domo tu ambayo kwa mpr wa sasa hauna nafas kwa sbb sik iz uwekezaj mzr unakupa mafanikio...sikatai mchango wa Haji kuleta lbd fans uwanjan ivo lkn siioni namna gani simba itashuka kisa yy kuondoka..Haji ni m2 wa kawaida sana na hawez kua na impact ya matokeo kwa kuondoka kwake na mpr ni matokeo ndo furaha ya sisi mashabik na vikombe sio porojo.
Yeah lkn sioni ni vp ligi itapoa mkuu..mambo yataenda tu as normalKweli kabisa......ila tusiombe ligi ikapoa kama ya Kenya
Ligi itapoa sana mechi ya simba na yanga itakuwa kama lipuli na ridico ya Lindi tuYeah lkn sioni ni vp ligi itapoa mkuu..mambo yataenda tu as normal
Hapo hatujuikamwaga naye atakuwa anapewa laki saba?
Simba wana dhambi.Ndio basi tena.
Masikio hayazidi kichwa labda yawe ya tembo.
Tulimpeleka Kigoma kwa kwa ndege, baada ya mechi tukamuacha ameamua kurudi na KisboLile jambo letu limekamilika sasa tunashughulika na mengine. Vipi huko Uto fc? Bado mpili anatembea na mabaunsa?
Manara ni Jembe asikudanganye mtu
Ina maana mechi ya fainali tarehe 25 huko Kigoma ilikua imepoa ?Ligi itapoa sana mechi ya simba na yanga itakuwa kama lipuli na ridico ya Lindi tu
Kayapata kwa kivuli cha simba...Haji ana madili mengi sana nje ya Simba na ndio hayo yanayompa kiburi.
Yanga SC si mlikuwa mnamtumia? Mchukueni basi Wanafiki wakubwa nyie.
Acheni Upuuzi na Upofu wa Akili hata wakati wa akina Seydou Rubeya, Juma Nkamia na Clifford Ndimbo Simba SC ilitangazika vyema kuliko mnavyopotosha hapa.
Halafu acheni kuwa Wapumbavu ( Fools ) Simba SC haijatangazika kwa sababu ya uwepo wa Haji Manara bali ni Mafanikio ( Performance ) ya Simba SC Uwanjani ndiyo imeitangaza zaidi.
Barcelona FC, Liverpool FC, Bayern Munich na PSG zimetangazika ( zinajulikana ) kutokana na Maafisa Habari wao? Umeshawajua Maafisa Habari wao tokea uanze Kufuatilia Masuala ya Mpira?
Mnatukera na huyo Mpuuzi Mwenzenu.