GeoMex
JF-Expert Member
- Jan 10, 2014
- 5,431
- 19,913
We mdada hujambo? Nakuvizia kila siku kama umerudi
My condolences
Halafu muacheni zungu wetu Manara jamani. Ujeuri was fedha ndo umemfikisha hapo
.
Ila pia itakua ni ujinga kutotambua kazi yake kubwa aliyofanya. Jamaa jembe aisee na ametutendea haki wanasimba na nafasi yake aliyopewa