Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji16][emoji16][emoji16] Kuna watu mna akili za kijinga sana.....Zile kelele zake za kijinga ndio ziwazuie akina Chama, Miquissone, Bwalya wasi perform uwanjani kisa Haji hayupo.Haji Manara HM ni zaidi ya Simba, ngoja tuone Simba itafikia wapi ..Simba bila Manara sioni kama itafika popote..
Maboko kivipi mkuu?.Ezekiel Kamwaga mzee wa kutoa maboko, sijui kama kajifunza mpira siku hizi...
halafu wale wachezaji wa utopolo aliokuwa anawaita takataka atakuwa anawakandia au kuwasifia? maana kama kweli mtu kama kaseke kakosea yeye akichambua na kumkandia unadhani kuna watu watamuelewa?Nahis manara ataenda kuwa pundit kwenye vipind vya tv, hasa Azam... maana alishawah endesha kipind chake cha habari za michezo na historia Azam na youtube.. sasa hv atakuwa na mda mzuri wa kuweza kufanya hivyo..
Hivi huyu jamaa ndio huwa alikuwa anaandika makala kwenye Mwanaspoti anajiita Mr. Liverpool?Alishawahi kuwa simba msemaji zamani pia ni mwandishi mzoefu sema nimekumbuka kisa kimoja nimecheka sana, simba ilikuwa inafanya vibaya miaka hiyo ikatokea vurugu pale msimbazi jamaa alitimuka mbio vibaya sana akaruka ukuta huku nyuma kawaachia manyoya ila ilikuwa ile simba yenye shida za pesa hata mshahara ilikuwa shida
Ndio basi tena.
Club kama ni kubwa hauhitaj mambo ya amasa..umesikia Man U au liver au Al alhly m2 wake wa amasa anaitwa nan..kinacho matter ni ubora wa team sio kupiga mdomo tu kama team ni bora ukishinda kwake ndo kutaleta amasa na sio vinginevyo.Duh... nani atahamasisha uwanja kujaa?
mbona taifa stars alishindwa kuhamasisha kujaa na yuko kwenye kamati ya hamasa ya stars? team huwa inajaza kutokana na pafomansiDuh... nani atahamasisha uwanja kujaa?
Unataka kusema Haji hakuwa na mchango wowote katika kuhakikisha mechi za kimataifa zinakuwa na ladha kwa mashabiki........Hatukatai Simba imempa jina Manara, ila Haji mchango wake umekua mkubwa sana kwenye kuleta hamasa kwa mashabikiClub kama ni kubwa hauhitaj mambo ya amasa..umesikia Man U au liver au Al alhly m2 wake wa amasa anaitwa nan..kinacho matter ni ubora wa team sio kupiga mdomo tu kama team ni bora ukishinda kwake ndo kutaleta amasa na sio vinginevyo.
Ngoja tusubiri tuone.....mechi za makundi CAF, Simba supercupmbona taifa stars alishindwa kuhamasisha kujaa na yuko kwenye kamati ya hamasa ya stars? team huwa inajaza kutokana na pafomansi