Simba yaachana na Haji Manara, Ezekiel Kamwaga ateuliwa kukaimu nafasi ya Msemaji wa Simba

Simba yaachana na Haji Manara, Ezekiel Kamwaga ateuliwa kukaimu nafasi ya Msemaji wa Simba

CHIZI VITABU

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2021
Posts
1,061
Reaction score
2,477
kamwaga.jpg


======

D296F9F0-2643-4859-AD66-3672BF3303D4.jpeg


Hajj Manara mwisho wake ni leo, Gsm poleni sana yuda iskarioti is out, Ezekiel ni kama vile anapewa miezi miwili ya transition ili kuendeshwa kitofauti na kusafisha u snitch ulisababishwa na tamaa za kuchukua mahela ya kuishi kifahari mjini.

=====

BAADA ya maneno mengi bila vitendo uongozi wa Simba rasmi umekata mzizi wa fitna kwa kuaamua kuachana na Haji Manara kama Msemaji wa klabu hiyo na kumteua Ezekiel Kamwaga kukaimu nafasi hiyo.

Kamwaga anakaimu nafasi hiyo kwa muda wa miezi miwili, katika kipindi hicho atashiriki katika maboresho ya muundo wa utendaji wa idara hiyo.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Bodi ya Wakurugenzi ya klabu hiyo imeridhia mtakwa wa Manara kuto kuendelea kudumu katika nafasi hiyo.

"Tunamshukuru kwa maneno aliyoyatumia kutuaga wanasimba katika kundi la viongozi wa Simba (Simba HQ), kwa kazi aliyoifanyia klabu katika kipindi alichoshika nafasi na inamtakia kila heri katika shughuli zake,".

"Mara baada ya kukamilika kwa maboresho ya idara ya habari na Mawasiliano na Idara nyingine, klabu itatangaza fulsa mbalimbali za ajira katika kipindi cha wiki chache zijazo," imesema taarifa hiyo.

zaidi, soma: Haji Manara amtuhumu Barbara kuwa na chuki dhidi yake. Amuahidi ataondoka Simba kwani amemkuta
 
Wapi picha ya Kamwaga tumuone?
Alishawahi kuwa simba msemaji zamani pia ni mwandishi mzoefu sema nimekumbuka kisa kimoja nimecheka sana, simba ilikuwa inafanya vibaya miaka hiyo ikatokea vurugu pale msimbazi jamaa alitimuka mbio vibaya sana akaruka ukuta huku nyuma kawaachia manyoya ila ilikuwa ile simba yenye shida za pesa hata mshahara ilikuwa shida
 
Back
Top Bottom