Simba yaachana na Vunja Bei, yasaini mkataba wa Tsh. Bilioni 4

Sielewi kidogo maana ya (T) kwenye jina la kampuni. Mimi nilijua kuwa tawil la kampuni multinational lililoko Tanzania ndilo huwekewa alama ya (T) kuonyesha kuwa tawi hilo linajitegemea kwa Tanzania na haliwakilishi siyo kampuni yote. Je sasa Vunjabei(T) maana yake ni kwamba kampuni hii imezagaa sehemu nyingi za dunia ila tawi la Tanzania ndilo linalohusika na tangazo hilo tu? Anayejua vizuri haya mambo ya trademarks, DBA and businness names anisaidie.
 
Sawa tu mradi isiwe mambo ya kidubaidubai na kibandaribandari
 
Baada ya kutoka patupu wameamua kutengeneza kombe la kisasa

Mabingwa wa mkataba mpya 2023/24
Hongera sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…