Kilimbatzz
JF-Expert Member
- Feb 11, 2023
- 9,134
- 14,593
Kiboko ya nani!?Msikilize kiboko yenu Jemedari mwana Yanga huyu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kiboko ya nani!?Msikilize kiboko yenu Jemedari mwana Yanga huyu
Wanayanga wapumbavu wataanza kusema huyu si mwenzao pengine hata kumchonganisha na taasisi isimwamini.Kitenge anasema Simba ni Big Brand Africa.
Huyo pamoja na kufahamika kuwa ni Uto lia lia lakini bado amepewa mwaliko.Anaongea hapa kwenye kipaza
Sandaland ze only one ni fred vunjabei hamna mabadiliko hapoSandaland ana maduka mikoani? Hapa dar tu nalijua moja la kariakoo.
UtopoloKiboko ya nani!?
Ndicho alichosema Salehe Jembe alinyimwa mpaka chakula na YangaHiyo pamoja na kufahamika kuwa ni Uto.lia lia lakini bado amepewa mwaliko.
Ingekuwa ni shuhuli ya Gongowazi usingeona ana alikwa mwana habari yeyote ambaye anaipemda Simba.
Uliona kwenye ile cherry pick ya kuchagua wachambuzi wakwenda Algeria walivyofanya Roho mbaya kwa kuwaengua baadhi ya wachambuzi ambao hawaonekani kuisifia Yanga?
Gongowazi wana roho mbaya sana hata kwenye vitu vidogo wao wana catch feelings.
Wale jamaa wana ukatili sana yani kitu wanachokifanya hata Jela hakipo.Ndicho alichosema Salehe Jembe alinyimwa mpaka chakula na Yanga
PatheticUtopolo
Utawafanya Simba wakataaneSandaland ni GSM
AaahaaaaaMuda wa kula hapa ukumbini. Nile kwanza wakuu
Ukiachana na mikoa uliyotaja, mikoa mingine jezi zilifika vipi?Ndio Dodoma, Mbeya, Mwanza, Zanzibar.
Dr Msukuma umeibuka.Upumbavu mtupu.
Ameshauri kitu gani tupe ? Wanamsimbazi updatesJemedari anashauri kuhusu jezi. Safi sana Bin Kazumari