OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
- Thread starter
- #121
Sandaland tayari kakusanya waha wenzie kina Mwijaku na Baba Levo kama machawa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jezi ziwe kiwango cha kimataifa, zipatikane kwa wakati, kuzuia kuzalishwa kwa jezi fekiAmeshauri kitu gani tupe ? Wanamsimbazi updates
Huyo Baba levo nakumbuka aliwahi kuzuia maiki isiende kwa Chawa mwenzake kwakua mwenzake nu MnyamaSandaland tayari kakusanya waha wenzie kina Mwijaku na Baba Levo kama machawa
Asingeachwa hivihivi, angalau wangemuachia awe anatengeneza bukta za timu.Vunja Bei anapewa Thank You kubwa na CEO. Nilisema Fred hana fedha za kutosha
Yani mmetoka kwa Vunjabei mnakwenda kwa Sunderland naona wote wale wale tu hakuna nafuu.
Sijui wacha tujipe muda tujionee.
Muda wa kula hapa ukumbini. Nile kwanza wakuu
Hayo mambo yote ni ya ku guess hata wwe hujui pesa aliyonayo huyo Sundaland unless uwe mke wake.Unahisi vunjabei anaweza kukaribia pesa aliyonayo sandaland? Kwa akili yako
Hiyo sio sababu. Hezi og za man utd na timu zingine ulaya zipo huku bongo, kwani Nike au Adidas wana maduka bongo?Sandaland ana maduka mikoani? Hapa dar tu nalijua moja la kariakoo.
Ongezea nyamaSimba ni klabu ya hovyo
Jamaa ni kilaza sana huyo halafu huwa anajifanya ni much know mnoo kumbe ni mweupe tu kwenye kufikiriDokta Majimarefu umezuka
Priva dinyo⁵ simba mtupu ila tumempa kitengoSisi Simba hatunyanyapai watu. Kitenge ni Yanga lakini tunampa kipaza hapa
Yani Vunja bei aanguke kwa kutolewa mkataba na Simba?Anguko la fred vunjq bei haliko mbali
Fanculoo.Jamaa ni kilaza sana huyo halafu huwa anajifanya ni much know mnoo kumbe ni mweupe tu kwenye kufikiri