OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
- Thread starter
- #81
Manara anafitinisha sana wapenzi wa soka. Anatakiwa kupigwa ban na kila mtu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nauanga mkono hoja!?Sunderland tunakuomba hata ikibidi ongea na wanaowatengenezea Uto jezi zao.
Material na design zao huwa kali sana.
Tumekuwa wanyonge kwa muda mrefu sasa
Manara anaingiaje kwenye bonanza lenu!?Manara anafitinisha sana wapenzi wa soka. Anatakiwa kupigwa ban na kila mtu
Kuna mambo Salehe Jembe amefungukaManara anaingiaje kwenye bonanza lenu!?
Ndo maana nimesema hizo ni vinyl zinachomwa kwenye nguo na wala si printingHata mtaani huku tunaziona kwa wavaaji.
Kuanzia hizo nembo ya timu mpaka sponsor zote zinabanduka.
Kwasababu haziku dariziwa bali zili printiwa tu kienyeji
Huo ni umbea!!Kuna mambo Salehe Jembe amefunguka
Pia kosa lake alikuwa anatumia sana Silent OceanSimba tuna siri, Vunja Bei alizungukwa na machawa wanavujisha
Yanga tumemnyanyapaa nani!?Sisi Simba hatunyanyapai watu. Kitenge ni Yanga lakini tunampa kipaza hapa
Hapo hapo kaziaPia kosa lake alikuwa anatumia sana Silent Ocean
Na nyie mtatumia carrier Ili tupitw na vijola vyenu!?Pia kosa lake alikuwa anatumia sana Silent Ocean
Naye yupo kwenye hafla?Kitenge anasema Simba ni Big Brand Africa.
Dokta Majimarefu umezukaUpumbavu mtupu.
Watoe wapi hawa,ahahhaaDah kwa io bonanza lote habari ni kuhusu huyo jamaa kuchukua tenda ya jezi,sijaona kingine Cha maana !!
Anaongea hapa kwenye kipazaNaye yupo kwenye hafla?
Ulitaka aseme Simba ni brand fyoko,Ili mumgawane hapo stejini,amesema mlichotaka kusikiaKitenge anasema Simba ni Big Brand Africa.
Msikilize kiboko yenu Jemedari mwana Yanga huyuUlitaka aseme Simba ni brand fyoko,Ili mumgawane hapo stejini,amesema mlichotaka kusikia