Katkit
JF-Expert Member
- Mar 12, 2023
- 1,893
- 4,641
Alithubutu but hakutufikisha pale penye tunahitaji.Fred anatakiwa kila la heri katika upambanaji
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alithubutu but hakutufikisha pale penye tunahitaji.Fred anatakiwa kila la heri katika upambanaji
Yanga bingwa.Inapendeza sana hakika simba imebarikiwa
nini kimetokeaManina
Hamna kitu pale, material ni hovyo sana basi tu hujazifatiliaSunderland tunakuomba hata ikibidi ongea na wanaowatengenezea Uto jezi zao.
Material na design zao huwa kali sana.
Tumekuwa wanyonge kwa muda mrefu sasa
Hizo za Shirikisho sijapata kuzishika kwa sababu sipo huko.Hamna kitu pale, material ni hovyo sana basi tu hujazifatiliaView attachment 2659902
Sikumbuki jezi gani za Yanga ambazo ni bora kwenye material, Yanga anasifiwa kwa designing sio Quality MaterialHizo za Shirikisho sijapata kuzishika kwa sababu sipo huko.
Ila zile zao zenye majengo na nyeusi, zilikuwa bora san.
Ubishi wangu mimi na wewe hatumalizagi. Sawa MkuuSikumbuki jezi gani za Yanga ambazo ni bora kwenye material, Yanga anasifiwa kwa designing sio Quality Material
View attachment 2659906
Sikumbuki jezi gani za Yanga ambazo ni bora kwenye material, Yanga anasifiwa kwa designing sio Quality Material
View attachment 2659906
Wouzaaaa mambo mazuri tunayotaka kuyasikiaSandaland ameahidi
Jezi zitakuwa nyingi
Jezi zitapatikana kwa wakati
Jezi zitakuwa na ubora
Anasema tayari mzigo upo kwenye kontena unakuja
Vunjabei alikuwepo?Vunja Bei anapewa Thank You kubwa na CEO. Nilisema Fred hana fedha za kutosha
Hizo vinyl zisipochomwa vizuri hubandukaHamna kitu pale, material ni hovyo sana basi tu hujazifatiliaView attachment 2659902
Kumbe watu washafanya design tayari.Sandaland ameahidi
Jezi zitakuwa nyingi
Jezi zitapatikana kwa wakati
Jezi zitakuwa na ubora
Anasema tayari mzigo upo kwenye kontena unakuja