Tetesi: Simba yacharuka, yazitaka saini za Pacome, Aucho Msimbazi!

Tetesi: Simba yacharuka, yazitaka saini za Pacome, Aucho Msimbazi!

Nifah

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2014
Posts
34,020
Reaction score
79,098
Klabu kongwe nchini, Simba Sports Club imeingia vitani na watani zao Yanga Afrika kwenye kinyang'anyiro cha kuzisaka saini za mastaa wa klabu hiyo yenye makao makuu yake Jangwani jijini Dar Es Salaam Pacome Zouzoua na Khalid Aucho.

Mastaa hao tegemezi katika kikosi cha kwanza cha Yanga, mikataba yao inaelekea ukingoni. Pacome na Aucho ni chaguo la kwanza la kocha Gamondi tokea aingie klabuni hapo, hivyo kukosekana kwao kutaleta athari na pengine mtikisiko katika maendeleo ya klabu kiujumla.

Pacome mguu nje, mguu ndani...
Taarifa za uhakika ni kwamba Pacome tayari ameshapokea 'kishika uchumba' kutokea Simba, pamoja na kupangiwa nyumba ya kuishi ambayo anaishi hivi sasa staa huyo kutokea Ivory Coast.

Pacome ambaye amekuwa mwiba mchungu kwa klabu hiyo kutokea Msimbazi kila wakutanapo na watani zao wa jadi Yanga, ametengewa fungu 'nono' ambalo kulikwepa itakuwa vigumu.

Hekaheka zote hizo zinachagizwa na mkataba wa profesa huyo wa mpira kuelekea ukingoni, na inaripotiwa anawapa wakati mgumu viongozi wa Yanga kusaini mkataba mpya.

Aucho awindwa, bado njia panda...
Klabu ya Simba imedhamiria mapinduzi katika kuimarisha kikosi chake ambacho bado hakina muunganiko wa kuridhisha kwa kumuweka kiungo punda kutokea Jangwani, Aucho katika rada.

Kiungo huyo aliyepewa hadhi ya udaktari kutokana na shughuli yake awapo uwanjani, ni injini ya kikosi cha Yanga katika kuanzisha na kutibua mashambulizi ya timu pinzani, pengo lake ni vigumu kuzibika kwa haraka ikiwa tu ataondoka klabuni hapo.

Mo Dewj amwaga hela...
Mwekezaji wa Simba Mohamed Dewj, amemwaga hela za kutosha katika kufanikisha usajili huo ambao ukifanikiwa utaacha vilio Jangwani.

Mo Dewj ambaye hapo kabla alikuwa katika wakati mgumu kwa mchakato wa Simba kuelekea katika mabadiliko kusuasua, mchakato huo umefikia pazuri na mwekezaji huyo ameonekana kufurahia hilo kwa kufungua pochi kuwezesha usajili huo.

Fei Toto Plan B...
Viongozi wa Simba wakiongozwa na mwekezaji wao Mo Dewj, wamedhamiria kuwafuta machozi mashabiki wa klabu hiyo kwa kufanya usajili wa maana kabla ya msimu huu kwisha, kwa kuwa wameshindwa kufanya hivyo kwa misimu kadhaa iliyopita.

Mkakati namba moja ni Pacome na Aucho, ikishindikana kuwapata mastaa hao basi watadondokea kwa kiungo kutokea Zanzibar Feisal Salum 'Fei Toto'.

Kwa msaada wa chanzo changu,

Nifah.
 
Klabu kongwe nchini, Simba Sports Club imeingia vitani na watani zao Yanga Afrika kwenye kinyang'anyiro cha kuzisaka saini za mastaa wa klabu hiyo yenye makao makuu yake Jangwani jijini Dar Es Salaam Pacome Zouzoua na Khalid Aucho.

Mastaa hao tegemezi katika kikosi cha kwanza cha Yanga, mikataba yao inaelekea ukingoni. Pacome na Aucho ni chaguo la kwanza la kocha Gamondi tokea aingie klabuni hapo, hivyo kukosekana kwao kutaleta athari na pengine mtikisiko katika maendeleo ya klabu kiujumla.

Pacome mguu nje, mguu ndani...
Taarifa za uhakika ni kwamba Pacome tayari ameshapokea 'kishika uchumba' kutokea Simba, pamoja na kupangiwa nyumba ya kuishi ambayo anaishi hivi sasa staa huyo kutokea Ivory Coast.

Pacome ambaye amekuwa mwiba mchungu kwa klabu hiyo kutokea Msimbazi kila wakutanapo na watani zao wa jazi Yanga, ametengewa fungu 'nono' ambalo kulikwepa itakuwa vigumu.

Hekaheka zote hizo zinachagizwa na mkataba wa profesa huyo wa mpira kuelekea ukingoni, na inaripotiwa anawapa wakati mgumu viongozi wa Yanga kusaini mkataba mpya.

Aucho awindwa, bado njia panda...
Klabu ya Simba imedhamiria mapinduzi katika kuimarisha kikosi chake ambacho bado hakina muunganiko wa kuridhisha kwa kumuweka kiungo punda kutokea Jangwani, Aucho katika rada.

Kiungo huyo aliyepewa hadhi ya udaktari kutokana na shughuli yake awapo uwanjani, ni injini ya kikosi cha Yanga katika kuanzisha na kutibua mashambulizi ya timu pinzani, pengo lake ni vigumu kuzibika kwa haraka ikiwa tu ataondoka klabuni hapo.

Mo Dewj amwaga hela...
Mwekezaji wa Simba Mohamed Dewj, amemwaga hela za kutosha katika kufanikisha usajili huo ambao ukifanikiwa utaacha vilio Jangwani.

Mo Dewj ambaye hapo kabla alikuwa katika wakati mgumu kwa mchakato wa Simba kuelekea katika mabadiliko kusuasua, mchakato huo umefikia pazuri na mwekezaji huyo ameonekana kufurahia hilo kwa kufungua pochi kuwezesha usajili huo.

Fei Toto Plan B...
Viongozi wa Simba wakiongozwa na mwekezaji wao Mo Dewj, wamedhamiria kuwafuta machozi mashabiki wa klabu hiyo kwa kufanya usajili wa maana kabla ya msimu huu kwisha, kwa kuwa wameshindwa kufanya hivyo kwa misimu kadhaa iliyopita.

Mkakati namba moja ni Pacome na Aucho, ikishindikana kuwapata mastaa hao basi watadondokea kwa kiungo kutokea Zanzibar Feisal Salum 'Fei Toto'.

Kwa msada wa chanzo changu,

Nifah.
Ujinga ujinga tu wachezaji wazuri wamejaa hii africa..yanini kwenda kutafuta ugovi usio tija.
 
Pacome na Aucho wakafanye nini Simba?

Yani tumemuacha Chama halafu tuje tumchukue Pacome kweli?

Simba kama itaamua kufanya hivyo ni kwa lengo moja tu kuua chemistry ya Yanga lakini sio kwa mategemeo ya hao wachezaji waje kuwa mchango ndani ya timu.
 
Klabu kongwe nchini, Simba Sports Club imeingia vitani na watani zao Yanga Afrika kwenye kinyang'anyiro cha kuzisaka saini za mastaa wa klabu hiyo yenye makao makuu yake Jangwani jijini Dar Es Salaam Pacome Zouzoua na Khalid Aucho.

Mastaa hao tegemezi katika kikosi cha kwanza cha Yanga, mikataba yao inaelekea ukingoni. Pacome na Aucho ni chaguo la kwanza la kocha Gamondi tokea aingie klabuni hapo, hivyo kukosekana kwao kutaleta athari na pengine mtikisiko katika maendeleo ya klabu kiujumla.

Pacome mguu nje, mguu ndani...
Taarifa za uhakika ni kwamba Pacome tayari ameshapokea 'kishika uchumba' kutokea Simba, pamoja na kupangiwa nyumba ya kuishi ambayo anaishi hivi sasa staa huyo kutokea Ivory Coast.

Pacome ambaye amekuwa mwiba mchungu kwa klabu hiyo kutokea Msimbazi kila wakutanapo na watani zao wa jazi Yanga, ametengewa fungu 'nono' ambalo kulikwepa itakuwa vigumu.

Hekaheka zote hizo zinachagizwa na mkataba wa profesa huyo wa mpira kuelekea ukingoni, na inaripotiwa anawapa wakati mgumu viongozi wa Yanga kusaini mkataba mpya.

Aucho awindwa, bado njia panda...
Klabu ya Simba imedhamiria mapinduzi katika kuimarisha kikosi chake ambacho bado hakina muunganiko wa kuridhisha kwa kumuweka kiungo punda kutokea Jangwani, Aucho katika rada.

Kiungo huyo aliyepewa hadhi ya udaktari kutokana na shughuli yake awapo uwanjani, ni injini ya kikosi cha Yanga katika kuanzisha na kutibua mashambulizi ya timu pinzani, pengo lake ni vigumu kuzibika kwa haraka ikiwa tu ataondoka klabuni hapo.

Mo Dewj amwaga hela...
Mwekezaji wa Simba Mohamed Dewj, amemwaga hela za kutosha katika kufanikisha usajili huo ambao ukifanikiwa utaacha vilio Jangwani.

Mo Dewj ambaye hapo kabla alikuwa katika wakati mgumu kwa mchakato wa Simba kuelekea katika mabadiliko kusuasua, mchakato huo umefikia pazuri na mwekezaji huyo ameonekana kufurahia hilo kwa kufungua pochi kuwezesha usajili huo.

Fei Toto Plan B...
Viongozi wa Simba wakiongozwa na mwekezaji wao Mo Dewj, wamedhamiria kuwafuta machozi mashabiki wa klabu hiyo kwa kufanya usajili wa maana kabla ya msimu huu kwisha, kwa kuwa wameshindwa kufanya hivyo kwa misimu kadhaa iliyopita.

Mkakati namba moja ni Pacome na Aucho, ikishindikana kuwapata mastaa hao basi watadondokea kwa kiungo kutokea Zanzibar Feisal Salum 'Fei Toto'.

Kwa msada wa chanzo changu,

Nifah.
Nakuami taarifa zako hua zinaukwel 99.9%
 
Wameanza kuwa na tamaa
20241015_110347.jpg
 
Klabu kongwe nchini, Simba Sports Club imeingia vitani na watani zao Yanga Afrika kwenye kinyang'anyiro cha kuzisaka saini za mastaa wa klabu hiyo yenye makao makuu yake Jangwani jijini Dar Es Salaam Pacome Zouzoua na Khalid Aucho.

Mastaa hao tegemezi katika kikosi cha kwanza cha Yanga, mikataba yao inaelekea ukingoni. Pacome na Aucho ni chaguo la kwanza la kocha Gamondi tokea aingie klabuni hapo, hivyo kukosekana kwao kutaleta athari na pengine mtikisiko katika maendeleo ya klabu kiujumla.

Pacome mguu nje, mguu ndani...
Taarifa za uhakika ni kwamba Pacome tayari ameshapokea 'kishika uchumba' kutokea Simba, pamoja na kupangiwa nyumba ya kuishi ambayo anaishi hivi sasa staa huyo kutokea Ivory Coast.

Pacome ambaye amekuwa mwiba mchungu kwa klabu hiyo kutokea Msimbazi kila wakutanapo na watani zao wa jadi Yanga, ametengewa fungu 'nono' ambalo kulikwepa itakuwa vigumu.

Hekaheka zote hizo zinachagizwa na mkataba wa profesa huyo wa mpira kuelekea ukingoni, na inaripotiwa anawapa wakati mgumu viongozi wa Yanga kusaini mkataba mpya.

Aucho awindwa, bado njia panda...
Klabu ya Simba imedhamiria mapinduzi katika kuimarisha kikosi chake ambacho bado hakina muunganiko wa kuridhisha kwa kumuweka kiungo punda kutokea Jangwani, Aucho katika rada.

Kiungo huyo aliyepewa hadhi ya udaktari kutokana na shughuli yake awapo uwanjani, ni injini ya kikosi cha Yanga katika kuanzisha na kutibua mashambulizi ya timu pinzani, pengo lake ni vigumu kuzibika kwa haraka ikiwa tu ataondoka klabuni hapo.

Mo Dewj amwaga hela...
Mwekezaji wa Simba Mohamed Dewj, amemwaga hela za kutosha katika kufanikisha usajili huo ambao ukifanikiwa utaacha vilio Jangwani.

Mo Dewj ambaye hapo kabla alikuwa katika wakati mgumu kwa mchakato wa Simba kuelekea katika mabadiliko kusuasua, mchakato huo umefikia pazuri na mwekezaji huyo ameonekana kufurahia hilo kwa kufungua pochi kuwezesha usajili huo.

Fei Toto Plan B...
Viongozi wa Simba wakiongozwa na mwekezaji wao Mo Dewj, wamedhamiria kuwafuta machozi mashabiki wa klabu hiyo kwa kufanya usajili wa maana kabla ya msimu huu kwisha, kwa kuwa wameshindwa kufanya hivyo kwa misimu kadhaa iliyopita.

Mkakati namba moja ni Pacome na Aucho, ikishindikana kuwapata mastaa hao basi watadondokea kwa kiungo kutokea Zanzibar Feisal Salum 'Fei Toto'.

Kwa msada wa chanzo changu,

Nifah.
Hahahahahaha...again
 
Back
Top Bottom