Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkifanikiwa kumpata Pacome hakika mtalamba dume, Pacome kamuacha mbali sana Chama.Pacome na Aucho wakafanye nini Simba?
Yani tumemuacha Chama halafu tuje tumchukue Pacome kweli?
Simba kama itaamua kufanya hivyo ni kwa lengo moja tu kuua chemistry ya Yanga lakini sio kwa mategemeo ya hao wachezaji waje kuwa mchango ndani ya timu.
Hujui mchango wa Aucho weweHapo labda pacome ila aucho amechoka sana
Wameanza kumlainisha Pacome asijepeleka kilio kingine tarehe 19.Wameanza kuwa na tamaaView attachment 3126458
Watapata tabu sana hao naziona 7 😂 😁Wameanza kumlainisha Pacome asijepeleka kilio kingine tarehe 19.
Mtani hii risiti nimesevu hii😎😂😁Hivi kumsajili Philippe Kinzumbi ndio imeshindikana kabisa, maana nilisikia usajili wake huko Club African bado una utata kwani wameingia mgogoro na TP Mazembe, sema simba msimu huu wamejitahidi kwenye usajili hiyo mechi ya jumamosi yanga wakijitahidi sana ni draw ya goli moja moja
Kwahiyo kuna ugomvi wa simba na malofa sababu ya malofa kumsajili chama?Ujinga ujinga tu wachezaji wazuri wamejaa hii africa..yanini kwenda kutafuta ugovi usio tija.
Hata mimi nitaumia sana. Lakini for the sake of fairness, hakuna namna lest Uongozi wa wananchi umboreshee maslahi yake.Sasa Pacome akiondoka mechi za klabu bingwa nitaendaje uwanjani? Huwa ananikosha mno anavyosepa na kijiji.