Tetesi: Simba yacharuka, yazitaka saini za Pacome, Aucho Msimbazi!

Tetesi: Simba yacharuka, yazitaka saini za Pacome, Aucho Msimbazi!

Hizi taarifa za tetesi ndio imeletwa kimkakati ili kufuta na kusahaulisha machungu ya taifa stars kufungwa na Congo na hapo hapo kuvuruga maandalizi ya yanga Kwenye mechi ya derby .
Mkuu, hii habari ninayo kabla hata ya matokeo ya jana. Ni kazi zilinibana nikashindwa kuiweka tokea majuzi...
 
Pacoume nafasi yake kwa sasa Yanga imekua ndogo, ila naona simba waki push zaid wanaweza kumpata, na ndo utakua usajili wenye tija kuliko hata Aucho
Na ndiye aliyeko kwenye nafasi nzuri zaidi, tusubiri tuone.
 
Pacoume nafasi yake kwa sasa Yanga imekua ndogo, ila naona simba waki push zaid wanaweza kumpata, na ndo utakua usajili wenye tija kuliko hata Aucho
Hizo propaganda tu, Yanga wana tabia ya kucheza na akili za mashabiki, ndo maana unaona wakina Meja wakina mchome, kiufupi Aucho hana nafasi Simba, pacome anaweza kucheza ila kwa siasa za simba na yanga hawezi kwenda kamwe. Huyu analeta story tu
 
Hizo propaganda tu, Yanga wana tabia ya kucheza na akili za mashabiki, ndo maana unaona wakina Meja wakina mchome, kiufupi Aucho hana nafasi Simba, pacome anaweza kucheza ila kwa siasa za simba na yanga hawezi kwenda kamwe. Huyu analeta story tu
Hii habari haijatokea Yanga Mkuu, ni hukohuko Simba.

Yanga wenyewe wanahaha kumshawishi Pacome asaini mkataba mpya lakini ndio hivyo, anawasumbua.

Hata hivyo, amini unachoamini.
 
Hizo propaganda tu, Yanga wana tabia ya kucheza na akili za mashabiki, ndo maana unaona wakina Meja wakina mchome, kiufupi Aucho hana nafasi Simba, pacome anaweza kucheza ila kwa siasa za simba na yanga hawezi kwenda kamwe. Huyu analeta story tu
Sikuiz hata wachezaji wanazipenda sana siasa za Simba na Yanga wameshajua ndio chanzo cha kupiga pesa ndefu sana kwa sasa yan kitu ambacho naamini sikuizi, hao mawakala wa wachezaji wanawasiliana sana na mawakala wa uku bongo kwaiyo fursa kama iyo hawawez kuiacha.. Sikuizi sishangai kabisa kuona mchezaji tena kipenz cha timu A kwenda Timu B yan ni kawaida sana.. Uwezekano upo hasa hawa wenye kusaini miaka miwili miwili waliotengeneza jina na ustar kwenye ligi yetu ni kawaida sana
 
Hizo propaganda tu, Yanga wana tabia ya kucheza na akili za mashabiki, ndo maana unaona wakina Meja wakina mchome, kiufupi Aucho hana nafasi Simba, pacome anaweza kucheza ila kwa siasa za simba na yanga hawezi kwenda kamwe. Huyu analeta story tu
kwakuwa wewe ni shabiki wa yanga unadhani pacome na yeye ni shabiki wa yanga kama wewe. Pacome anacheza mpira ili apate pesa na atacheza timu yoyote itakayompa pesa nyingi.
 
Siku akiondoka huyu 👇🏽👇🏽👇🏽 ndiyo nitashtuka sana, Imagine mwamba alitumia mechi moja tu akajua Boka ni mali 😀

images - 2024-10-16T132629.401.jpeg
 
Chanzo chako uwa ni cha uongo chanzo kina fake news kibao

Hatujasahau ya Try Again kua na bifu Mo, kwamba try again anataka kumngoa Mo Simba, moja kati ya taarifa za hovyo umewai kuripoti na kujinadi kua ni chanzo cha uhakika
 
Pacome na Aucho wakafanye nini Simba?

Yani tumemuacha Chama halafu tuje tumchukue Pacome kweli?

Simba kama itaamua kufanya hivyo ni kwa lengo moja tu kuua chemistry ya Yanga lakini sio kwa mategemeo ya hao wachezaji waje kuwa mchango ndani ya timu.
Uzuri ni kwamba Young Africans ni timu na sio mchezaji mmoja. Kwenye mechi ya Young Africans vs Mamelodi hawakuwepo Pacome, Aucho, na Yao lakini kila mmoja kawa shahidi jinsi gani Mamelod walivyokutana na upinzani mkubwa kutoka Young Africans. Hivyo ni rahisi kuziba mapengo ya hao wachezaji kama lilivyozibwa pengo la Lomalisa, nina imani na scout ya Yanga italeta chuma zaidi ya hao hivyo wachukueni tu wala chemistry ya Yanga haitovurugika kama ilivyoshindikana kuvurugika baada ya kuondoka Mayele, Feisal, Djuma Shaban na Bangala na benchi zima la ufundi.
 
Uzuri ni kwamba Young Africans ni timu na sio mchezaji mmoja. Kwenye mechi ya Young Africans vs Mamelodi hawakuwepo Pacome, Aucho, na Yao lakini kila mmoja kawa shahidi jinsi gani Mamelod walivyokutana na upinzani mkubwa kutoka Young Africans. Hivyo ni rahisi kuziba mapengo ya hao wachezaji kama lilivyozibwa pengo la Lomalisa, nina imani na scout ya Yanga italeta chuma zaidi ya hao hivyo wachukueni tu wala chemistry ya Yanga haitovurugika kama ilivyoshindikana kuvurugika baada ya kuondoka Mayele, Feisal, Djuma Shaban na Bangala na benchi zima la ufundi.
Huwa nakukubali sana kwenye pande hizi za michezo Mkuu.
Umesema vyema.
 
Hizo taarifa za namna hiyo tume zizoea na mara nyingi hua zinavumishwa na mawakala wa wachezaji ili wateja wao wapate mikataba minono kwenye timu wanazo chezea hata kwa chama ilikua hivyo hivyo misimu yote aliyocheza Simba,

lakini kwa sasa hivi hatuna shida na wachezaji wa utopolokwinyo hasa hao wazee wawili hakuna kipya tutapata kutoka kwao
 
Hii umeitelekeza umeibuka na nyingine na source zako uchwara

 
Back
Top Bottom