Simba yaifuata Coastal Union Arusha bila Camara na Che Malone

Simba yaifuata Coastal Union Arusha bila Camara na Che Malone

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Kikosi cha Simba kimeondoka jijini Dar es Salaam leo asubuhi kuelekea jijini Arusha kwa ajili ya mchezo wa Ligi Kuu dhidi ya Coastal Union utakaopigwa keshokutwa Jumapili kwenye Uwanja wa Sheikh Amri Abeid.

Simba yenye pointi 51 inahitaji ushindi katika mchezo huo ili kuendelea kuipa upinzani Yanga yenye pointi 55 katika mbio za ubingwa.

1740728628692.png
Mlinda mlango namba moja wa Simba SC, Moussa Camara mlinzi Che Malone, Kiungo Mzamiru Yasini wataukosa mchezo wa kesho dhidi ya Coastal Union kutokana na majeraha.

Ikumbukwe kuwa Simba iliambulia sare ya 2-2 dhidi ya Coastal Union kwenye mchezo wa mzunguuko wa kwanza msimu huu 2024/25 uliopigwa Uwanja wa KMC Complex jijini Dar es Salaam.

1740728665466.png
 
Kikosi cha Simba kimeondoka jijini Dar es Salaam leo asubuhi kuelekea jijini Arusha kwa ajili ya mchezo wa Ligi Kuu dhidi ya Coastal Union utakaopigwa keshokutwa Jumapili kwenye Uwanja wa Sheikh Amri Abeid.

Simba yenye pointi 51 inahitaji ushindi katika mchezo huo ili kuendelea kuipa upinzani Yanga yenye pointi 55 katika mbio za ubingwa.

Mlinda mlango namba moja wa Simba SC, Moussa Camara mlinzi Che Malone, Kiungo Mzamiru Yasini wataukosa mchezo wa kesho dhidi ya Coastal Union kutokana na majeraha.

Ikumbukwe kuwa Simba iliambulia sare ya 2-2 dhidi ya Coastal Union kwenye mchezo wa mzunguuko wa kwanza msimu huu 2024/25 uliopigwa Uwanja wa KMC Complex jijini Dar es Salaam.

Jumapili ipi tena Mzee game kesho wewe!!!
 
Tunaenda kutengeneza gape la point 3 mnyama atatoa sare na ni muda wa diarra kumpita huyu kolo kamara cleen sheets
 
Kikosi cha Simba kimeondoka jijini Dar es Salaam leo asubuhi kuelekea jijini Arusha kwa ajili ya mchezo wa Ligi Kuu dhidi ya Coastal Union utakaopigwa keshokutwa Jumapili kwenye Uwanja wa Sheikh Amri Abeid.

Simba yenye pointi 51 inahitaji ushindi katika mchezo huo ili kuendelea kuipa upinzani Yanga yenye pointi 55 katika mbio za ubingwa.

Mlinda mlango namba moja wa Simba SC, Moussa Camara mlinzi Che Malone, Kiungo Mzamiru Yasini wataukosa mchezo wa kesho dhidi ya Coastal Union kutokana na majeraha.

Ikumbukwe kuwa Simba iliambulia sare ya 2-2 dhidi ya Coastal Union kwenye mchezo wa mzunguuko wa kwanza msimu huu 2024/25 uliopigwa Uwanja wa KMC Complex jijini Dar es Salaam.

Tumpe nafasi mutale match hii Kuna kitu nmekuona kwenye macho yake.
 
Back
Top Bottom