...mlikuwa mnasubiri jana tufungwe ndio mshangilie kwa raha.Tunaweka tu kumbukumbu sawa kwa wengine, binadamu tumeumbwa kusahau
Mbona unakiri kinyonge sana?sawa, ila hakuna kupata kudogo.
Wala hata hatujali.Mmekusanya chakula ya Mo hiyo.
Bahati mbaya mambo yameenda tofauti kabisa na matarajio yao....mlikuwa mnasubiri jana tufungwe ndio mshangilie kwa raha.
Kati ya Yanga na simba, nani mkubwa?Mkubwa mkubwa tu
Sawa Yanga mkubwaKati ya Yanga na simba, nani mkubwa?
NB: Mkubwa siku zote anapimwa kwa umri wake.
Yaani akili yako yoote imeishia hapa kulinganisha fedha tu hilo tu.dah ama kweli simple minds zipo kibaoHadi kufikia sasa ambapo Simba ametinga robo fainali kibabe, kwa kumchabanga Horoya mabao 7-0 kwenye michuano ya ligi ya mabingwa Afrika CAFCL, huku Yanga ikitinga robo fainali kombe la Shirikisho Afrika CAFCC, Simba SC imezidi Yanga kwa mbali kwa kukusanya fedha nyingi kwenye michuano ya Kimataifa ya CAF wanaoshiriki.
Hii ndo maana ya michuano mikubwa kwa timu kubwa kushiriki.[emoji116]
View attachment 2558996
Mlikuwa mnasubiria yanga ifungwe ili mpate vya kuropoka baada ya kutoka kapa mmekuja kujifariji kwa style hiiHadi kufikia sasa ambapo Simba ametinga robo fainali kibabe, kwa kumchabanga Horoya mabao 7-0 kwenye michuano ya ligi ya mabingwa Afrika CAFCL, huku Yanga ikitinga robo fainali kombe la Shirikisho Afrika CAFCC, Simba SC imezidi Yanga kwa mbali kwa kukusanya fedha nyingi kwenye michuano ya Kimataifa ya CAF wanaoshiriki.
Hii ndo maana ya michuano mikubwa kwa timu kubwa kushiriki.[emoji116]