Simba yaizidi Yanga kwa kukusanya fedha nyingi kwenye michuano ya Kimataifa ya CAF

Simba yaizidi Yanga kwa kukusanya fedha nyingi kwenye michuano ya Kimataifa ya CAF

Hadi kufikia sasa ambapo Simba ametinga robo fainali kibabe, kwa kumchabanga Horoya mabao 7-0 kwenye michuano ya ligi ya mabingwa Afrika CAFCL, huku Yanga ikitinga robo fainali kombe la Shirikisho Afrika CAFCC, Simba SC imezidi Yanga kwa mbali kwa kukusanya fedha nyingi kwenye michuano ya Kimataifa ya CAF wanaoshiriki.

Hii ndo maana ya michuano mikubwa kwa timu kubwa kushiriki.[emoji116]

Vipi tupige tena hesabu ya hela zilizoingia kwa Simba na Yanga au ugomvi sio mzuri?
 
Hadi kufikia sasa ambapo Simba ametinga robo fainali kibabe, kwa kumchabanga Horoya mabao 7-0 kwenye michuano ya ligi ya mabingwa Afrika CAFCL, huku Yanga ikitinga robo fainali kombe la Shirikisho Afrika CAFCC, Simba SC imezidi Yanga kwa mbali kwa kukusanya fedha nyingi kwenye michuano ya Kimataifa ya CAF wanaoshiriki.

Hii ndo maana ya michuano mikubwa kwa timu kubwa kushiriki.[emoji116]

Hii ajenda bado ipo tuuu???
 
Halafu kombe hilo hilo mnalolidharau (mkiringia mmlichuano ya Mapinduzi Cup) ndilo limeifanya Yanga iwashushe makolokoloni FC kwenye ubora wa vilabu Afrika
Dah ujinga ni maradhi.Hiyo listi ni timu zinazofuatiliwa kwenye social media sio ubora.Kwenye listi ya ubora bado sana ingawa Utopolo wamepiga hatua kwenye Losers Cup.
 
Mleta mada
Last seen yake ni tar 22.03.2023, sijui kapotelea wapi!

IMG-20230519-WA0016.jpg
 
Kumbe hujui mambo yanavyokwenda, hakuna pesa ya kuingia group stage
Ndio maana Rage alituita MBUMBUMBU!
IMG-20230519-WA0030.jpg


IMG-20230519-WA0031.jpg


Link hii hapa chini.


Summary yake hii hapa
Screenshot_20230519-144951_Chrome.jpg
 
Ndio maana Rage alituita MBUMBUMBU!
View attachment 2627607

View attachment 2627608

Link hii hapa chini.


Summary yake hii hapa
View attachment 2627614
Unapoishia ndiyo utapewa hela yake

Haimaanishi ukiingia robo unavuta, then ukiingia nusu fainali unavuta tena.
Pale utakapoishia ndiyo unapewa.
Aliyeishia robo atapewa, aliyevuka robo yeye hatapewa. Atasubiriwa nusu fainali, akiishia fainali atapiwa lakini akivuka fainali hatapewa, atasubiriwa kama atachukua kombe au nafasi ya pili ndiyo apewe
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Halafu kombe hilo hilo mnalolidharau (mkiringia mmlichuano ya Mapinduzi Cup) ndilo limeifanya Yanga iwashushe makolokoloni FC kwenye ubora wa vilabu Afrika
tofautisha kudharau na kuueleza ukweli
 
  • Thanks
Reactions: Tui
tofautisha kudharau na kuueleza ukweli
Hivi mikia anapigania kombe lile msimu huu? Najua ninyi mmeshiriki kombe la dunia la udaku, hivyo mko vizuri kwenye eneo hilo. Mtumiaji sana hasa pale mkishuhudia wananchi wakinyenyua kwapa kwenye mashindano makubwa ya CAF. Kwa sasa endeleeni kulialia na kulalamika, muda wenu unakuja ambapo mtatafuta mahali pa kujificha pasiwepo.
 
Hivi mikia anapigania kombe lile msimu huu? Najua ninyi mmeshiriki kombe la dunia la udaku, hivyo mko vizuri kwenye eneo hilo. Mtumiaji sana hasa pale mkishuhudia wananchi wakinyenyua kwapa kwenye mashindano makubwa ya CAF. Kwa sasa endeleeni kulialia na kulalamika, muda wenu unakuja ambapo mtatafuta mahali pa kujificha pasiwepo.
Mbona unachoongea hakina uhusiano WOWOTE ba nilichoandika?
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Back
Top Bottom