Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni wenge nmeshaelewaUnajua kizungu?
Itakuwa ni Free agent Fc bila shaka.Ametokea timu gani vile😅😅😅
US MonstrAmetokea timu gani vile😅😅😅
Hujui hata jinsi ya Ku-Google. Omba ufundishwe.Age
33yrs
Born 15 Feb 1991
Tayari umeshamzaa mara hii tuAge
33yrs
Born 15 Feb 1991
Hapa ronaldo ilibidi aombe picha na mwambaView attachment 2863688
Mwamba hatari 26yrs teh teh teh,unaweza ukakuta kacheza cha ndimu na Boko.Official and confirmed:
Babacar Sarr is a new midfielder for Simba SC. [emoji599]
#Transfers
#AfricanFootball
#NguvuMoja [emoji881]
Source:MickyjnrView attachment 2863674
Mzee wa maghorofa Mfungulie Uzi na huyu
Free agent huyoUS Monstr
Ni wenge nmeshaelewa
Hata Gamond alikuwa free agent tena miaka miwiliFree agent huyo
Hata Saido wakati anakuja Yanga,aliwahi kucheza Ligue one na kuna mwingine tulimleta Yanga kacheza Newcastle United,so siyo story anaweza kuja akafaulu au akafail kabisaBaada ya hii game ronaldo ilibi aombe jezi ya mwambaView attachment 2863683
Akuna timu ya mwarabu inayoweza kumuacha mchezaji ambae ni Bora, uyu bwana amesajiliwa akiwa free agent baada ya u.s monasteries kumtema mwezi wa 11, kwa maana iyo matarajio yasiwe makubwa sana na akiba ya maneno!Official and confirmed:
Babacar Sarr is a new midfielder for Simba SC. [emoji599]
#Transfers
#AfricanFootball
#NguvuMoja [emoji881]
Source:MickyjnrView attachment 2863674
[emoji16][emoji38]Mmeshaanza kujinyea enyi vyura [emoji16]
Wana mhaho [emoji38]Mmeshaanza kujinyea enyi vyura [emoji16]
Umekula?Kwa muujibu wa wikipedia narudia tena kwa muujibu wa wikipedia BABACAR SARR ni mchezaji wa mpira wa miguu kutoka senegal, mtuhumiwa wa ubakaji mara mbili, hakuwahi kuonekana mahakamani, anatafutwa na interpol pia hajulikani alipo kwa sasa.
Mkataba wa miaka miwili na nusu[emoji28][emoji28][emoji28]mchezaji kila msimu na timu mpya