Simba yamtangaza Barbara Gonzalez kuwa Mtendaji Mkuu wa Club

Simba yamtangaza Barbara Gonzalez kuwa Mtendaji Mkuu wa Club

Kigwa nia yake ilikua ajibiwe na MO na sio nyie wengine msio hata na tick ya blue.(hii ni kasumba ya watu maarufu hasa wenye bluetick,wamejiweka daraja la juu)

Kingine mkuu kigwa kahoji mchakato wa kumpata barbara kama CEO je ulizingatia vigezo mlivyojiwekea?

Majibu mengine hawezi kuyapata Twitter na hilo analijua lakini alifanya kwa Makusudi.
Angelienda Ofisini kutafuta Vigezo na sio Twitter.

Na Jambo la kustaajabisha ni Kuwa wengi wetu Mashabiki wa Simba tulimpinga lakini anaungwa Mkono na Washabiki wa Yanga.
 
Wengi mmempinga HK sababu mnaogopa MO akikomaliwa na wengi atajiuzulu na hela bado hajatoa hivyo MNAMDEKEZA. Kingine MO anatumia twitter zaidi kuliko ofisin na matamko yake mengi anayabandika twitter mfano kujiuzulu kisa kipigo.

Anashabikiwa na yanga sababu wanaona ukweli halisi pia wanafurahia mnavyotibuana kwanza awepo MO au asiwepo wao hawaongezewei wala hawapungukiwi na kitu. Ni sawa na nyie mnayo mengi ya mdhamini wa yanga mnataman HK mmoja aibukie yanga mpate burudani.
Majibu mengine hawezi kuyapata Twitter na hilo analijua lakini alifanya kwa Makusudi.
Angelienda Ofisini kutafuta Vigezo na sio Twitter.

Na Jambo la kustaajabisha ni Kuwa wengi wetu Mashabiki wa Simba tulimpinga lakini anaungwa Mkono na Washabiki wa Yanga.
 
Wengi mmempinga HK sababu mnaogopa MO akikomaliwa na wengi atajiuzulu na hela bado hajatoa hivyo MNAMDEKEZA. Kingine MO anatumia twitter zaidi kuliko ofisin na matamko yake mengi anayabandika twitter mfano kujiuzulu kisa kipigo.

Anashabikiwa na yanga sababu wanaona ukweli halisi pia wanafurahia mnavyotibuana kwanza awepo MO au asiwepo wao hawaongezewei wala hawapungukiwi na kitu. Ni sawa na nyie mnayo mengi ya mdhamini wa yanga mnataman HK mmoja aibukie yanga mpate burudani.

Paragraph yako ya mwisho imemaliza mjadala
 
Waswahili husema ukiona vyaelea ujue vimeundwa ...

Wakati baadhi wana hoji B20 ni vyema pia wahoji mishahara ya wachezaji , gharama za kuendesha club, udhamimi toka kwa sponsor ni shilling ngapi , senzo alikuwa analipwa bei gani , nani alimleta senzo , majukumu ya ceo ni yapi, ..kuna vitu vongi vya kuhoji ndani ya club kwa izo 20B, una kuwa na foreign player 10 + 3 technical trainers and how do they paid

Then Hamis aulizwena yy ana kadi ya uanachama ?
 
Sasa naanza kuona matunda ua Barbara pale simba sports
 
Nimesoma CV ya huyo CEO mpya wa Simba sc, kwa kweli hapo tumepigwa 3 bila wana Simba wenzangu. Huyo mtu sio mwanamichezo wala hajawahi fanya kazi yoyote ya kimichezo. Mwamed ametuzidi maarifa sisi wenye hisa hewa 51%.

PIA WAWEZA SOMA HAPA CHINI KUONGEZEA TAARIFA ZA HUYO MREMBO


View attachment 1559522
Barbara Gonzalez
CEO,

MO DEWJI FOUNDATION
Barbara Gonzalez is the head of the Mo Dewji Foundation, a registered charity founded by Africa’s youngest billionaire, Mohammed Dewji. The foundation is dedicated to enriching the lives and alleviating Tanzanian citizens from poverty and hardship through health, education and community development. She is responsible for developing strategies to address some of the world’s most challenging inequities and leading all the foundation’s efforts to promote equity and sustainable livelihoods for all Tanzanians.
Gonzalez serves on the advisory board for Young African Leaders Initiative (YALI) Regional Leadership Center East Africa. YALI was launched by former President of the United States Barack Obama as a signature effort to invest in the next generation of African leaders.
Prior to the foundation, Gonzalez was consultant at Deloitte Consulting Limited Tanzania. She was involved in projects for public sector clients including USAID, UNICEF, World Bank and Plan International.
Gonzalez holds a master’s degree in development management from the London School of Economics and Political Science, and a bachelor’s degree with honors in economics and political science from Manhattanville College in Purchase, New York.

[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sasa ukweli umedhihirika! Kuna shabiki mmoja wa mbumbumbu fc aliwahi kutoa angalizo humu ya kwamba mdhamini mkuu anashikiliwa masikio na huyo bidada!!

Na alimtabiria pia kupewa hiyo nafasi siku za usoni! Sasa yametimia. Muda si mrefu mbumbumbu fc wataanza tu kutibuana. Hasa kwa wale watakao shindwa kumtii bosi mpya kwa namna yoyote ile.

Haahaha[emoji23][emoji23][emoji23]
 
👉Nilipolisikia Hilo Jina Nikamkumbuka Kule YALI ya Rais Obama.
👉Sikuijua CV yake but then nikafahamu amesoma LSE na vyuo vyengine Credible duniani.

Nikachekaaaaa yaani Hawa WATANI mikia wanaletewa mtu bila ya TENDA KUTANGAZWA na watu Kufanya INTERVIEW😂😂.....

Hayaa TAJIRI kaamua Mana walikuwa wanatucheka Sana kipindi kile tukiwa na DIWANI WA MBAGALA KUU😂😂.

Kwako Haji Manara>Your New CEO is classy sa we mletee USHUBWADA wa TANDALE KWA MKUNDUGE...
We mtu mbaya 🤣🤣🤣
 
[emoji117]Nilipolisikia Hilo Jina Nikamkumbuka Kule YALI ya Rais Obama.
[emoji117]Sikuijua CV yake but then nikafahamu amesoma LSE na vyuo vyengine Credible duniani.

Nikachekaaaaa yaani Hawa WATANI mikia wanaletewa mtu bila ya TENDA KUTANGAZWA na watu Kufanya INTERVIEW[emoji23][emoji23].....

Hayaa TAJIRI kaamua Mana walikuwa wanatucheka Sana kipindi kile tukiwa na DIWANI WA MBAGALA KUU[emoji23][emoji23].

Kwako Haji Manara>Your New CEO is classy sa we mletee USHUBWADA wa TANDALE KWA MKUNDUGE...
aya yako ya mwisho, yametimia[emoji23]
 
aya yako ya mwisho, yametimia[emoji23]
Hakika mkuu...

Mimi ni shabiki wa Yanga ila ninapenda maendeleo ya soka letu la bongo....

Kaka Haji Manara ana kipaji cha uhamasishaji na kubrand timu yake....ana ushawishi mkuu....ana ufuasi mkubwa....na ana nyota kali....

Mapungufu yake ni hulka yake ya kupenda mapambano KUPITILIZA(TUG OF WAR)....

Hulka yake hii ninaamini ni STEP BACK kubwa ya nguvu alizonazo....

Haji angeweza kuyacontrol mapungufu yake ,hwenda angekuwa MWANASIASA MZURI SANA....ila kwa hulka yake hiyo ,kunakosekana KUMUAMINI KULIKO KUKUBWA......

Haji abadilike sasa ,japo najua ana EGO kubwa ya kujiona Yuko juu ya Kila mtu.....hili ni suala la KISAIKOLOJIA ,huwenda amekua akiwa na POST TRAUMATIC STRESS DISORDER(PTSD)....

Binafsi ninamuombea KUBADILIKA kwema....INAWEZEKANA...INAWEZEKANA!!!

#KaziIendelee
#DaimaMbeleNyumaMwiko
 
Mkuu wangu....

Mkuu wangu.....

Pamoja na uanachama wangu wa Yanga ,ila ninapenda sana maendeleo ya SOKA LA BONGO....

Kwa kuijua hulka ya kaka Haji Manara ,niliandika hayo baada ya dada Barbara Gonzalez kujiunga NANYI....leo yametimia!!!

Akitaka Kaka Haji anaweza "kupambana na mapungufu" yake ya kupenda "tug of war"....

Inawezekana KUBADILIKA....

Kwa hayo Ninamuombea Kila la heri huyu mwanachama mwenzangu wa CCM ,aamin!

#KaziIendelee
#DaimaMbeleNyumaMwiko
 
Back
Top Bottom