Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,482
- 27,182
Kigwa nia yake ilikua ajibiwe na MO na sio nyie wengine msio hata na tick ya blue.(hii ni kasumba ya watu maarufu hasa wenye bluetick,wamejiweka daraja la juu)
Kingine mkuu kigwa kahoji mchakato wa kumpata barbara kama CEO je ulizingatia vigezo mlivyojiwekea?
Majibu mengine hawezi kuyapata Twitter na hilo analijua lakini alifanya kwa Makusudi.
Angelienda Ofisini kutafuta Vigezo na sio Twitter.
Na Jambo la kustaajabisha ni Kuwa wengi wetu Mashabiki wa Simba tulimpinga lakini anaungwa Mkono na Washabiki wa Yanga.
Wengi mmempinga HK sababu mnaogopa MO akikomaliwa na wengi atajiuzulu na hela bado hajatoa hivyo MNAMDEKEZA. Kingine MO anatumia twitter zaidi kuliko ofisin na matamko yake mengi anayabandika twitter mfano kujiuzulu kisa kipigo.
Anashabikiwa na yanga sababu wanaona ukweli halisi pia wanafurahia mnavyotibuana kwanza awepo MO au asiwepo wao hawaongezewei wala hawapungukiwi na kitu. Ni sawa na nyie mnayo mengi ya mdhamini wa yanga mnataman HK mmoja aibukie yanga mpate burudani.
Paragraph yako ya mwisho imemaliza mjadala
Sasa kamkalia nani, HK ni sawa na wewe tu njaa kali unalilia hela ya watu katafute yakoMbona unataka kulia ndo kwanza HK kawakalia kooniView attachment 1560481
Sasa kamkalia nani, HK ni sawa na wewe tu njaa kali unalilia hela ya watu katafute yako
Nimesoma CV ya huyo CEO mpya wa Simba sc, kwa kweli hapo tumepigwa 3 bila wana Simba wenzangu. Huyo mtu sio mwanamichezo wala hajawahi fanya kazi yoyote ya kimichezo. Mwamed ametuzidi maarifa sisi wenye hisa hewa 51%.
PIA WAWEZA SOMA HAPA CHINI KUONGEZEA TAARIFA ZA HUYO MREMBO
View attachment 1559522
Barbara Gonzalez
CEO,
MO DEWJI FOUNDATION
Barbara Gonzalez is the head of the Mo Dewji Foundation, a registered charity founded by Africa’s youngest billionaire, Mohammed Dewji. The foundation is dedicated to enriching the lives and alleviating Tanzanian citizens from poverty and hardship through health, education and community development. She is responsible for developing strategies to address some of the world’s most challenging inequities and leading all the foundation’s efforts to promote equity and sustainable livelihoods for all Tanzanians.
Gonzalez serves on the advisory board for Young African Leaders Initiative (YALI) Regional Leadership Center East Africa. YALI was launched by former President of the United States Barack Obama as a signature effort to invest in the next generation of African leaders.
Prior to the foundation, Gonzalez was consultant at Deloitte Consulting Limited Tanzania. She was involved in projects for public sector clients including USAID, UNICEF, World Bank and Plan International.
Gonzalez holds a master’s degree in development management from the London School of Economics and Political Science, and a bachelor’s degree with honors in economics and political science from Manhattanville College in Purchase, New York.
Sasa ukweli umedhihirika! Kuna shabiki mmoja wa mbumbumbu fc aliwahi kutoa angalizo humu ya kwamba mdhamini mkuu anashikiliwa masikio na huyo bidada!!
Na alimtabiria pia kupewa hiyo nafasi siku za usoni! Sasa yametimia. Muda si mrefu mbumbumbu fc wataanza tu kutibuana. Hasa kwa wale watakao shindwa kumtii bosi mpya kwa namna yoyote ile.
We mtu mbaya 🤣🤣🤣👉Nilipolisikia Hilo Jina Nikamkumbuka Kule YALI ya Rais Obama.
👉Sikuijua CV yake but then nikafahamu amesoma LSE na vyuo vyengine Credible duniani.
Nikachekaaaaa yaani Hawa WATANI mikia wanaletewa mtu bila ya TENDA KUTANGAZWA na watu Kufanya INTERVIEW😂😂.....
Hayaa TAJIRI kaamua Mana walikuwa wanatucheka Sana kipindi kile tukiwa na DIWANI WA MBAGALA KUU😂😂.
Kwako Haji Manara>Your New CEO is classy sa we mletee USHUBWADA wa TANDALE KWA MKUNDUGE...
Kwa hiyo ameshamletea USHUBWADA WA TANDALE KWA MKUNDUGE ?!!🤣🤣We mtu mbaya 🤣🤣🤣
aya yako ya mwisho, yametimia[emoji23][emoji117]Nilipolisikia Hilo Jina Nikamkumbuka Kule YALI ya Rais Obama.
[emoji117]Sikuijua CV yake but then nikafahamu amesoma LSE na vyuo vyengine Credible duniani.
Nikachekaaaaa yaani Hawa WATANI mikia wanaletewa mtu bila ya TENDA KUTANGAZWA na watu Kufanya INTERVIEW[emoji23][emoji23].....
Hayaa TAJIRI kaamua Mana walikuwa wanatucheka Sana kipindi kile tukiwa na DIWANI WA MBAGALA KUU[emoji23][emoji23].
Kwako Haji Manara>Your New CEO is classy sa we mletee USHUBWADA wa TANDALE KWA MKUNDUGE...
Hakika mkuu...aya yako ya mwisho, yametimia[emoji23]
Mkuu wangu....