sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
Jamaa wameazima mwalimu AseeKweli watu hamna kazi. Unakaa chini unatunga ngonjera na kuiweka humu watu waijadili
Weka official statementJamaa wameazima mwalimu Asee
Simba inachukua kocha ndondoWeka official statement
Kocha ndondo ana leseni A ya CafSimba inachukua kocha ndondoView attachment 2349413
huamini ?Kweli watu hamna kazi. Unakaa chini unatunga ngonjera na kuiweka humu watu waijadili
Hakuna option, tuna siku mbili tu, tunahitaji kocha ambaye walau amefatilia timu na kujua wachezaji ili kusaidia kuvuka nyakati hizi ngumu.Ni utani au..!!!?
Kazi tunayo wallah....
Kenge hua anafanyaje mkuu?mbona kenge huwa hacheki !