Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mgunda ni Matola aliyechangamka au ni sawa na Mark myugoslavia mkwe wa Dejan a.k.a "Mugalu aliyepaka Carolite" mweusiSioni tofauti yoyote ya Mgunda na Matola
Shida Iko wapi Klop mwenyewe wa Liverpool anatandikwa na vibonde sembuse Matola?Kwanini uongozi wa Simba wasiwape Wagosi wa Kaya Matola tukabaki na Mgunda ila hata kocha atakayeletwa akifukuzwa Mgunda aendelee...
Matola hana elimu ya kutosha mkuu! Elimu yake inamtosha kusimamia mazoezi tu!!Sioni tofauti yoyote ya Mgunda na Matola
Sasa wewe unachobisha nini Mkuu? Kwamba Simba haijamtangaza Mgunda?Kweli watu hamna kazi. Unakaa chini unatunga ngonjera na kuiweka humu watu waijadili
Duh!!!
Simba kweli imefulia, mpaka inaazima Kocha.... Na baaadooo...!!!
Mi Naiona, subiri na wewe utauona tofauti ya Guardiola na Mourinho.Sioni tofauti yoyote ya Mgunda na Matola
Shida yenu mmeaminishwa ujinga mko level flan wakati sio kweli,shida inakuja kuna vitu vinakuja kutokea mnakua amuamini kutokana na mlivyoamishwa tofauti na uhalisiaWeka official statement
Sijui ni Mimi Tu lakini mawazo yangu yananituma kukubaliana na wazo hili. Huwezi kwenda kwenye Mechi Malawi naked. Lakini pia hili lichukuliwe kama funzo Kwa Simba. Tatizo hili lingetokea Yanga isingekuwa shida maana makocha wote 2 Wana Leseni kubwa. Nashindwa kujua Kwa nini Matola hataki kutimiza vigezo rahisi vya kupata Leseni A wakati inaonekana Simba inampenda Sana. Watu wamekuamini na kukupa ajira ya bure bila elimu husika unashindwaje kujiendeleza hata Kwa elimu masafa kupata sifa sitahiki? Kwa hili Matola umepuyanga.
Ajiendeleze halafu awe kocha mkuu afungwe afukuzwe?Sijui ni Mimi Tu lakini mawazo yangu yananituma kukubaliana na wazo hili. Huwezi kwenda kwenye Mechi Malawi naked. Lakini pia hili lichukuliwe kama funzo Kwa Simba. Tatizo hili lingetokea Yanga isingekuwa shida maana makocha wote 2 Wana Leseni kubwa. Nashindwa kujua Kwa nini Matola hataki kutimiza vigezo rahisi vya kupata Leseni A wakati inaonekana Simba inampenda Sana. Watu wamekuamini na kukupa ajira ya bure bila elimu husika unashindwaje kujiendeleza hata Kwa elimu masafa kupata sifa sitahiki? Kwa hili Matola umepuyanga.
Halafu baada ya hiyo mechi ataendelea na majukumu yake ya ukocha, au atarejea kwenye klabu yake ya Coastal Union?
Mlete MthunguuuNi utani au..!!!?
Kazi tunayo wallah....
AiseeeeKaribu sana makoloni bwana Pitso Mosimane Mgunda
Angeweza kuhudhuria (Matola) hata Tutorial za Profesa Nabi (Just Joking!)Sijui ni Mimi Tu lakini mawazo yangu yananituma kukubaliana na wazo hili. Huwezi kwenda kwenye Mechi Malawi naked. Lakini pia hili lichukuliwe kama funzo Kwa Simba. Tatizo hili lingetokea Yanga isingekuwa shida maana makocha wote 2 Wana Leseni kubwa. Nashindwa kujua Kwa nini Matola hataki kutimiza vigezo rahisi vya kupata Leseni A wakati inaonekana Simba inampenda Sana. Watu wamekuamini na kukupa ajira ya bure bila elimu husika unashindwaje kujiendeleza hata Kwa elimu masafa kupata sifa sitahiki? Kwa hili Matola umepuyanga.
Vituko haviishiHalafu mkikutana na Coastal Union kocha anarudi kuwa Mgunda, duu Simba mmetisha.
Kama uto na mkwasaHalafu mkikutana na Coastal Union kocha anarudi kuwa Mgunda, duu Simba mmetisha.