Simba yamtangaza Juma Mgunda kuwa Kocha Mkuu wa muda

Simba yamtangaza Juma Mgunda kuwa Kocha Mkuu wa muda

Nadhani una mawazo mfu. Team ya Chelsea imefukuza kocha, nayo imefulia au wewe ni wale mashabiki fuata mkumbo au team Uto. Suala la kuwa na mwalimu katika muda wa mpito( transition period) mbona ni kawaida!
Umesikia kinachoendelea Malawi..,!
Ndo utajua hujui kuwa Mashabiki wa Simba na Viongozi wao, akili zao zipo Sawasawa.
 
Back
Top Bottom