joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Kwani wewe ushatafunwa mara ngapi?Ewe binti bao ni bao tu
Umesahau abdala kibadeni kati ya zile bao sita 3 alipiga mwenyewe bila kupumzika akakutoa kibeleko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani wewe ushatafunwa mara ngapi?Ewe binti bao ni bao tu
Umesahau abdala kibadeni kati ya zile bao sita 3 alipiga mwenyewe bila kupumzika akakutoa kibeleko
Zimamoto hiiHakuna option, tuna siku mbili tu, tunahitaji kocha ambaye walau amefatilia timu na kujua wachezaji ili kusaidia kuvuka nyakati hizi ngumu.
Umesikia kinachoendelea Malawi..,!Nadhani una mawazo mfu. Team ya Chelsea imefukuza kocha, nayo imefulia au wewe ni wale mashabiki fuata mkumbo au team Uto. Suala la kuwa na mwalimu katika muda wa mpito( transition period) mbona ni kawaida!