Simba yamtangaza Juma Mgunda kuwa Kocha Mkuu wa muda

Simba yamtangaza Juma Mgunda kuwa Kocha Mkuu wa muda

Kama uto na mkwasa
Kwa hiyo wakimataifa wanawaiga wa hapa hapa, nyie si mnasemaga wenzenu Alhly, Mazembe,Casablanca nk,sasa leo mnawaiga Uto, kweli mpo vizuri.

Au ndio Simba akikosa nyama hula mpaka majani.
 
Kwanini tunapenda kujidharau? Kwani mgunda sio kocha? Waacheni wana SIMBA na maamuuzi yao
 
Sijui ni Mimi Tu lakini mawazo yangu yananituma kukubaliana na wazo hili. Huwezi kwenda kwenye Mechi Malawi naked. Lakini pia hili lichukuliwe kama funzo Kwa Simba. Tatizo hili lingetokea Yanga isingekuwa shida maana makocha wote 2 Wana Leseni kubwa. Nashindwa kujua Kwa nini Matola hataki kutimiza vigezo rahisi vya kupata Leseni A wakati inaonekana Simba inampenda Sana. Watu wamekuamini na kukupa ajira ya bure bila elimu husika unashindwaje kujiendeleza hata Kwa elimu masafa kupata sifa sitahiki? Kwa hili Matola umepuyanga.
Hivi leseni A unadhani ni rahisi kuipata wewe? Kusoma kugumu jameni
 
Hatari sana hiii ngoja tuenedelee kuwepo tuone mwisho wa huu mtanange.
Wala usiwe na wasiwasi, huyo ni pep guadiola mnene. Zitapigwa pass kama za maplay station🤣🤣🤣🤣🤣
 
Kwa hiyo wakimataifa wanawaiga wa hapa hapa, nyie si mnasemaga wenzenu Alhly, Mazembe,Casablanca nk,sasa leo mnawaiga Uto, kweli mpo vizuri.

Au ndio Simba akikosa nyama hula mpaka majani.
Hata wewe ukikaa vizuri simba anakutafuna vile vile
 

Attachments

  • images.jpeg
    images.jpeg
    38.6 KB · Views: 1
Kama wewe ulivyotafuna 👇👇
Kwani wewe ushatafunwa mara ngapi tokea mwaka jana? Ngao Umetafunwa mwaka jana,Azam Confederation Umetafunwa na Juzi ukatafunwa Mayele akipiga bao mbili, yaani ni sawa na kusema wewe ni MLUPO.

Ushazoea kutafunwa n kwenye ligi unatafunwa tena.
 
Kwani wewe ushatafunwa mara ngapi tokea mwaka jana? Ngao Umetafunwa mwaka jana,Azam Confederation Umetafunwa na Juzi ukatafunwa Mayele akipiga bao mbili, yaani ni sawa na kusema wewe ni MLUPO.

Ushazoea kutafunwa n kwenye ligi unatafunwa tena.
Kweli kabisa lakini haiwezekani kila ukiombwa gemu na mumeo simba unapigwa bao 6 (hapa ulipigwa 3 na kuvunjwa bikra na abdala kibadeni) ,5,4 halafu bado unalia hujakojozwa miss utopolo
 

Attachments

  • images.jpeg
    images.jpeg
    38.6 KB · Views: 1
  • download.jpeg
    download.jpeg
    8.6 KB · Views: 1
Kweli kabisa lakini haiwezekani kila ukiombwa gemu na mumeo simba unapigwa bao 6,5,4 halafu bado unalia hujakojozwa miss utopolo
Tatizo sio bao wengine kaa nguruwe bao moja watoto 12.
 
Tatizo sio bao wengine kaa nguruwe bao moja watoto 12.
Ewe binti bao ni bao tu
Umesahau abdala kibadeni kati ya zile bao sita 3 alipiga mwenyewe bila kupumzika akakutoa kibeleko
 
Back
Top Bottom