Simba yamtangaza Juma Mgunda kuwa Kocha Mkuu wa muda

Kama uto na mkwasa
Kwa hiyo wakimataifa wanawaiga wa hapa hapa, nyie si mnasemaga wenzenu Alhly, Mazembe,Casablanca nk,sasa leo mnawaiga Uto, kweli mpo vizuri.

Au ndio Simba akikosa nyama hula mpaka majani.
 
Kwanini tunapenda kujidharau? Kwani mgunda sio kocha? Waacheni wana SIMBA na maamuuzi yao
 
Hivi leseni A unadhani ni rahisi kuipata wewe? Kusoma kugumu jameni
 
Hatari sana hiii ngoja tuenedelee kuwepo tuone mwisho wa huu mtanange.
Wala usiwe na wasiwasi, huyo ni pep guadiola mnene. Zitapigwa pass kama za maplay station🀣🀣🀣🀣🀣
 
Kwa hiyo wakimataifa wanawaiga wa hapa hapa, nyie si mnasemaga wenzenu Alhly, Mazembe,Casablanca nk,sasa leo mnawaiga Uto, kweli mpo vizuri.

Au ndio Simba akikosa nyama hula mpaka majani.
Hata wewe ukikaa vizuri simba anakutafuna vile vile
 
Kama wewe ulivyotafuna πŸ‘‡πŸ‘‡
Kwani wewe ushatafunwa mara ngapi tokea mwaka jana? Ngao Umetafunwa mwaka jana,Azam Confederation Umetafunwa na Juzi ukatafunwa Mayele akipiga bao mbili, yaani ni sawa na kusema wewe ni MLUPO.

Ushazoea kutafunwa n kwenye ligi unatafunwa tena.
 
Kwani wewe ushatafunwa mara ngapi tokea mwaka jana? Ngao Umetafunwa mwaka jana,Azam Confederation Umetafunwa na Juzi ukatafunwa Mayele akipiga bao mbili, yaani ni sawa na kusema wewe ni MLUPO.

Ushazoea kutafunwa n kwenye ligi unatafunwa tena.
Kweli kabisa lakini haiwezekani kila ukiombwa gemu na mumeo simba unapigwa bao 6 (hapa ulipigwa 3 na kuvunjwa bikra na abdala kibadeni) ,5,4 halafu bado unalia hujakojozwa miss utopolo
 

Attachments

  • images.jpeg
    38.6 KB · Views: 1
  • download.jpeg
    8.6 KB · Views: 1
Kweli kabisa lakini haiwezekani kila ukiombwa gemu na mumeo simba unapigwa bao 6,5,4 halafu bado unalia hujakojozwa miss utopolo
Tatizo sio bao wengine kaa nguruwe bao moja watoto 12.
 
Tatizo sio bao wengine kaa nguruwe bao moja watoto 12.
Ewe binti bao ni bao tu
Umesahau abdala kibadeni kati ya zile bao sita 3 alipiga mwenyewe bila kupumzika akakutoa kibeleko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…