joseph1989 JF-Expert Member Joined May 4, 2014 Posts 17,420 Reaction score 35,765 Sep 8, 2022 #81 3ZOV said: Ewe binti bao ni bao tu Umesahau abdala kibadeni kati ya zile bao sita 3 alipiga mwenyewe bila kupumzika akakutoa kibeleko Click to expand... Kwani wewe ushatafunwa mara ngapi?
3ZOV said: Ewe binti bao ni bao tu Umesahau abdala kibadeni kati ya zile bao sita 3 alipiga mwenyewe bila kupumzika akakutoa kibeleko Click to expand... Kwani wewe ushatafunwa mara ngapi?
Proved JF-Expert Member Joined Sep 10, 2018 Posts 32,639 Reaction score 42,908 Sep 8, 2022 #82 MTAZAMO said: Hakuna option, tuna siku mbili tu, tunahitaji kocha ambaye walau amefatilia timu na kujua wachezaji ili kusaidia kuvuka nyakati hizi ngumu. Click to expand... Zimamoto hii
MTAZAMO said: Hakuna option, tuna siku mbili tu, tunahitaji kocha ambaye walau amefatilia timu na kujua wachezaji ili kusaidia kuvuka nyakati hizi ngumu. Click to expand... Zimamoto hii
Powder JF-Expert Member Joined Jan 6, 2016 Posts 4,977 Reaction score 6,635 Sep 9, 2022 #83 CHAZA said: Nadhani una mawazo mfu. Team ya Chelsea imefukuza kocha, nayo imefulia au wewe ni wale mashabiki fuata mkumbo au team Uto. Suala la kuwa na mwalimu katika muda wa mpito( transition period) mbona ni kawaida! Click to expand... Umesikia kinachoendelea Malawi..,! Ndo utajua hujui kuwa Mashabiki wa Simba na Viongozi wao, akili zao zipo Sawasawa.
CHAZA said: Nadhani una mawazo mfu. Team ya Chelsea imefukuza kocha, nayo imefulia au wewe ni wale mashabiki fuata mkumbo au team Uto. Suala la kuwa na mwalimu katika muda wa mpito( transition period) mbona ni kawaida! Click to expand... Umesikia kinachoendelea Malawi..,! Ndo utajua hujui kuwa Mashabiki wa Simba na Viongozi wao, akili zao zipo Sawasawa.