Kidagaa kimemwozea
JF-Expert Member
- Jul 13, 2018
- 3,680
- 6,554
Utabiri wangu kuelekea mchezo wa kesho FT 0-0
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo mkuu hii 50k niweke draw nipate mara tatu ? [emoji16]Utabiri wangu kuelekea mchezo wa kesho FT 0-0
Wewe hufanyi dhambi?Uzi tayari??
Utoto Raha sana. Maana mtoto hajui anacho kifanya muda wote anajiona yupo sahihi tu.
Mbona umebaki muda mfupi sana kabla ya mchezo husika.
Kwanini usiweze kuvumilia tu???
Wewe ni mganga, mtabiri, Mnajimu, ustadhi au ni nani???????
Kwa mkristo ni dhambj kufanya utabiri au unajimu,ANAYEIJUA KESHO NI MUNGU TU NA SI MWANADAMU.
Epuka dhambi ndogo ndogo.
Weka correct score 0-0Kwahiyo mkuu hii 50k niweke draw nipate mara tatu ? [emoji16]
😄😄Sina uhakika nani atashinda, ila Chama atafunga magoli mawili
AloooWeka correct score 0-0
Chama gani? hata shot on target hapatiSina uhakika nani atashinda, ila Chama atafunga magoli mawili
UTOTO RAHA JAMANIUtabiri wangu kuelekea mchezo wa kesho FT 0-0
😄Karibu mwenezi wa Chama Cha Mapinduzi na NEC amesema Chama Cha CCM kitanunua Kila goli Kwa ng'ombe mmoja jike au dume. Hivyo tutarajie uwepo wa magoli
[emoji1][emoji1]
Kiingilio cha chini buku 5 ambacho kama hakija jaah mpak sahiv sijuiKiingilio sh ngapi
Ongezea mchungaji na askofu mana wengi wao now ni wachawi tu.....refer MwaposaUzi tayari??
Utoto Raha sana. Maana mtoto hajui anacho kifanya muda wote anajiona yupo sahihi tu.
Mbona umebaki muda mfupi sana kabla ya mchezo husika.
Kwanini usiweze kuvumilia tu???
Wewe ni mganga, mtabiri, Mnajimu, ustadhi au ni nani???????
Kwa mkristo ni dhambj kufanya utabiri au unajimu,ANAYEIJUA KESHO NI MUNGU TU NA SI MWANADAMU.
Epuka dhambi ndogo ndogo.
Sawa mkuuSimba 2.. Yanga 1