Simba Yanga kesho hakuna mbabe

Simba Yanga kesho hakuna mbabe

Uzi tayari??

Utoto Raha sana. Maana mtoto hajui anacho kifanya muda wote anajiona yupo sahihi tu.

Mbona umebaki muda mfupi sana kabla ya mchezo husika.
Kwanini usiweze kuvumilia tu???

Wewe ni mganga, mtabiri, Mnajimu, ustadhi au ni nani???????

Kwa mkristo ni dhambj kufanya utabiri au unajimu,ANAYEIJUA KESHO NI MUNGU TU NA SI MWANADAMU.

Epuka dhambi ndogo ndogo.
 
Uzi tayari??

Utoto Raha sana. Maana mtoto hajui anacho kifanya muda wote anajiona yupo sahihi tu.

Mbona umebaki muda mfupi sana kabla ya mchezo husika.
Kwanini usiweze kuvumilia tu???

Wewe ni mganga, mtabiri, Mnajimu, ustadhi au ni nani???????

Kwa mkristo ni dhambj kufanya utabiri au unajimu,ANAYEIJUA KESHO NI MUNGU TU NA SI MWANADAMU.

Epuka dhambi ndogo ndogo.
Wewe hufanyi dhambi?
 
Karibu mwenezi wa Chama Cha Mapinduzi na NEC amesema Chama Cha CCM kitanunua Kila goli Kwa ng'ombe mmoja jike au dume. Hivyo tutarajie uwepo wa magoli


[emoji1][emoji1]
 
Uzi tayari??

Utoto Raha sana. Maana mtoto hajui anacho kifanya muda wote anajiona yupo sahihi tu.

Mbona umebaki muda mfupi sana kabla ya mchezo husika.
Kwanini usiweze kuvumilia tu???

Wewe ni mganga, mtabiri, Mnajimu, ustadhi au ni nani???????

Kwa mkristo ni dhambj kufanya utabiri au unajimu,ANAYEIJUA KESHO NI MUNGU TU NA SI MWANADAMU.

Epuka dhambi ndogo ndogo.
Ongezea mchungaji na askofu mana wengi wao now ni wachawi tu.....refer Mwaposa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom