Simba & Yanga Special Thread

Nyako! Kikiral chieng' no, abilo chuady ma teck..

Mimi ntakuwa taifa mapema sana pale Minazini bar au Liquid chang'ombe nikitoa loki za ijumaa na kusubiri hiyo mechi taaaaratibu

[HASHTAG]#SimbaTaifaKubwa[/HASHTAG]
Okinyal chwada! Chieng'no in-emibirolal.
 
Ulizikiliza kipindi cha Sport HQ kama Yanga wamewakatia rufaa Stand, U unabisha bila kuelewa alafu unajisifu wewe zaidi, alafu uandishi wako tu unaonyesha wewe ni bado mtoto. Neno Chepeko kama nii tusi likuhusu wewe na ukoo wako wote, kama huna hoja kaa kimya, umeona tunadhalauliana humu, wewe uwe zaidi mimi unanijua, kama unauwezo kwa jambo lolote mimi sikujui, uwezo ukusaidie wewe na ndugu zako.
 
Hujui hata kiswahili vizuri,rudi shule kwanza,nimekuuliza swali ni lini yanga kapewa ushindi wa mezani?unaleta mambo sijui ya sports upumbavu gani.
 
 
Hey jiheshimu,mama yangu kakukosea nini?
NILITAKA KUJUA KAMA UNATUMIA KISWAHILI....SAFI SANA...HILI JUKWAA LA KISWAHILI WEWE UNAONGEA KILUGHA CHENU UKIDHANI SIE HATUNA CHA KWETU? HASHTAGSIPENDAGIUJINGAMIMIHASHITAGI...AHAHAHAHAHAHAHAHAHA.
POLE LAKINI MTANI...NOTHING PERSONAL
 
NILITAKA KUJUA KAMA UNATUMIA KISWAHILI....SAFI SANA...HILI JUKWAA LA KISWAHILI WEWE UNAONGEA KILUGHA CHENU UKIDHANI SIE HATUNA CHA KWETU? HASHTAGSIPENDAGIUJINGAMIMIHASHITAGI...AHAHAHAHAHAHAHAHAHA.
POLE LAKINI MTANI...NOTHING PERSONAL
Hebu huko!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…