Simba yangu msikose kuwasajili Kelvin Nashon na Kevin Kijiri kwenye mipango yenu ya usajili, wako vzr sana vijana hao

Simba yangu msikose kuwasajili Kelvin Nashon na Kevin Kijiri kwenye mipango yenu ya usajili, wako vzr sana vijana hao

Leonel Ateba Mbinda

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2023
Posts
644
Reaction score
2,695
Kwa sasa timu yetu haina beki wa kulia mzuri, Shomari Kapombe amechoka lazima tukubali, uwezo umepungua, hana kasi, hana krosi, mzito, anakaba kwa mazoea na majeruhi ya sasa hiv yakimpata ndio imetoka hiyo.

Beki wa kulia pekee mwenye uwezo wa kucheza Simba na akaliamsha kisawa sawa ni Kevin Kijiri, beki wa kulia wa zamani wa KMC na sasa yuko Fountain Gate.

Kevin Kijiri ni mrefu, ana spidi kuliko mnyama ngiri, ana nguvu, anapanda na kushuka kama marehemu Rafael Paulo ama R.P.

Kevin Kijiri hana tofauti na yule wa kulia wa Mamelod Sundowns.

Huyu siku akisajiliwa tu Simba basi anakwend Stars moja kwa moja.

Israel Mwenda ameshindwa kumudu nafasi hiyo, halafu majeruhi yamekuwa yanamuandama sana

Duchu naye bado, hawezi kuhimili mikikimikiki.

Kevin Kijiri, mm chawa lakini kwa beki huyu ambaye anacheza kama winga wa kulia niko tayari kumsemea mahali popote pale duniani. Nitafurahi sana viongozi wangu wakinisajilia huyu mwamba.

Mwamba mwingine ni huyu Kevin Nashon, huyu nimekuwa nikiandika sana lakini sieleweki, huyu anamzidi Mzamiru kwa mambo mengi, hana pasi mkaa huyu dogo, anakaba hadi Aziz Ki anaomba po kwa Arajiga.

Ni mzoefu na anajua kuchezesha wenzake.

Viongozi, naomba mpokee ushauri huu kwa roho safi kabisa
 
Kuna kipre Jr pia. Tunawashaurigi hivihivi alafu hamtusikilizi mnaishia kuchua wakina Jobe
 
Kwa sasa timu yetu haina beki wa kulia mzuri, Shomari Kapombe amechoka lazima tukubali, uwezo umepungua, hana kasi, hana krosi, mzito, anakaba kwa mazoea na majeruhi ya sasa hiv yakimpata ndio imetoka hiyo.

Beki wa kulia pekee mwenye uwezo wa kucheza Simba na akaliamsha kisawa sawa ni Kevin Kijiri, beki wa kulia wa zamani wa KMC na sasa yuko Fountain Gate.

Kevin Kijiri ni mrefu, ana spidi kuliko mnyama ngiri, ana nguvu, anapanda na kushuka kama marehemu Rafael Paulo ama R.P.

Kevin Kijiri hana tofauti na yule wa kulia wa Mamelod Sundowns.

Huyu siku akisajiliwa tu Simba basi anakwend Stars moja kwa moja.

Israel Mwenda ameshindwa kumudu nafasi hiyo, halafu majeruhi yamekuwa yanamuandama sana

Duchu naye bado, hawezi kuhimili mikikimikiki.

Kevin Kijiri, mm chawa lakini kwa beki huyu ambaye anacheza kama winga wa kulia niko tayari kumsemea mahali popote pale duniani. Nitafurahi sana viongozi wangu wakinisajilia huyu mwamba.

Mwamba mwingine ni huyu Kevin Nashon, huyu nimekuwa nikiandika sana lakini sieleweki, huyu anamzidi Mzamiru kwa mambo mengi, hana pasi mkaa huyu dogo, anakaba hadi Aziz Ki anaomba po kwa Arajiga.

Ni mzoefu na anajua kuchezesha wenzake.

Viongozi, naomba mpokee ushauri huu kwa roho safi kabisa
Yanga wanataka kuchukua kombe la ubingwa Africa wanahitaji wachezaji wenye individual skills na nguvu na uzoefu wa michuano hiyo
 
Nashon bado, si level ya simba, alishindwa kumkaba Aziz Ki ikawa kila tukio anamchezea rafu tu hadi akapewa kadi na kupigwa sub, huyo ataigharimu simba yenu.

Kwasasa siioni Simba ikisimama, ninavyoona itapita 4 years au zaidi Simba kurudisha makali, simba imeporomoka, ni jumba bovu linaanguka sasa, tutulie lifike chini. Timu haina philosophy kwasasa, wanacheza level ya ndondo kama Abajalo au Faru Dume. Timu ikishinda wachezaji hawaamini wanapigwa butwaa na hawashangilii, sababu wining is habit na habit ya ushindi kwasasa iPo jangwani.

Kinachotakiwa ni uongozi uliopo wa Chief Mangungo na Kajulo kuachia ngazi waje wengine otherwise maumivu yataendelea kwa mbumbumbu simply wanasimba kwa kipindi kirefu
 
Kwa sasa timu yetu haina beki wa kulia mzuri, Shomari Kapombe amechoka lazima tukubali, uwezo umepungua, hana kasi, hana krosi, mzito, anakaba kwa mazoea na majeruhi ya sasa hiv yakimpata ndio imetoka hiyo.

Beki wa kulia pekee mwenye uwezo wa kucheza Simba na akaliamsha kisawa sawa ni Kevin Kijiri, beki wa kulia wa zamani wa KMC na sasa yuko Fountain Gate.

Kevin Kijiri ni mrefu, ana spidi kuliko mnyama ngiri, ana nguvu, anapanda na kushuka kama marehemu Rafael Paulo ama R.P.

Kevin Kijiri hana tofauti na yule wa kulia wa Mamelod Sundowns.

Huyu siku akisajiliwa tu Simba basi anakwend Stars moja kwa moja.

Israel Mwenda ameshindwa kumudu nafasi hiyo, halafu majeruhi yamekuwa yanamuandama sana

Duchu naye bado, hawezi kuhimili mikikimikiki.

Kevin Kijiri, mm chawa lakini kwa beki huyu ambaye anacheza kama winga wa kulia niko tayari kumsemea mahali popote pale duniani. Nitafurahi sana viongozi wangu wakinisajilia huyu mwamba.

Mwamba mwingine ni huyu Kevin Nashon, huyu nimekuwa nikiandika sana lakini sieleweki, huyu anamzidi Mzamiru kwa mambo mengi, hana pasi mkaa huyu dogo, anakaba hadi Aziz Ki anaomba po kwa Arajiga.

Ni mzoefu na anajua kuchezesha wenzake.

Viongozi, naomba mpokee ushauri huu kwa roho safi kabisa
Mshaanza kupigia chapuo watu wenu
 
Back
Top Bottom