Peramiho yetu
JF-Expert Member
- May 25, 2018
- 5,303
- 14,983
Si tulisema TIK TOK ndio tusaini nao imekuaje Tena m bet makanjibai wenzake waingie mkataba nao?
Kuna mwamba alikula m 25 kupitia mbet kumlipa walisumbuana had gaming board iliingilia kati ili alipwe
Si kwa ubaya watuoneshe mkataba wa bei gani walioingia
Kuna mwamba alikula m 25 kupitia mbet kumlipa walisumbuana had gaming board iliingilia kati ili alipwe
Si kwa ubaya watuoneshe mkataba wa bei gani walioingia