Simba yasajili kiungo wa Sudan, kuimarisha kikosi

Sipingi waze lakini tuwe na balance
 
ana miaka 25 tuu kazaliwa June 1994
 
Uzee ni dawa

 
Unajifanya unajua sana simba kuliko mwalimu
 
Sipingi waze lakini tuwe na balance
Yeah uwekezaji wa vijana ni muhimu sana
Kwa soka endelevu kwa club na nchi pia
hizi wanazofanya sasa ni short term plans naamini wanataka tulipoishia tusishuke tuanzie pale pale..

Uku nyuma sasa naamini ndio wawe na mkakati kabambe wa kusuka vijana wenye vipaji sio kama madogo waliocheza Jana wale sijui wameokotea wapi.
 
Hakika mkuu.
 
Kwenye soka la leo ushindani uko juu sana. Wachezaji kinda wanapaswa kuendelezwa taratibu kuanzia kwenye academy na kuwa-diffuse taratibu timu ya wakubwa. Mfano: Rashid Juma. Hauwezi kusajili kinda watupu my friend. Watapigwa mechi 5 out of 7 tutaanza "oooh kocha...
 
Unajifanya unajua sana simba kuliko mwalimu
Soma vizuri between the line. Kumkumbusha mwalimu na viongozi ndio kazi yetu mashabiki maana timu ikifungwa tunaumia sana mashabiki. Na walimu sio Miungu angalia usajili wa Zana Coulbaly na Kindoki ndio ujue pia walimu na viongozi wanapaswa wakumbushwe wakati mwingine.
 
Hakika unechambua vzuri, kupambana ns TP mazembe tunahitaji watu kama hawa
 
Kumuacha kotei ni sawa na kuchagua mbachao kwa msala upitao!
 
Amefanana na Mabior Garang Mabior

Atakuwa anatoka Sudan ya kusini au kaskazini? Maana kusini ni weusi ila sijui kama kuna waislam na pia kaskazini shombe shombe wengi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…