Simba yasajili kiungo wa Sudan, kuimarisha kikosi

Mzee baba kwani mchezaji akiwa free agent unamchukua bure...wakina kahata na kina tuyisenge ni free agent sahv nenda kajaribu kuwagusa uone bei yao...timu iliyomnunua tuyisenge ya angola uliza wamemlipa bei gani
Tufahamishe basi ada ya usajili ni kiasi gani?
 
Kina salamba, kaheza, yule kipa dogo, timu ya under 20, au unamaanisha nini?
 
Huyu ni kiungo mzuiaji
 
25yrs ni mzee???
 
Pia kocha alishasema niyonzima na chama wanacheza mpira wa aina moja anahitaji mtu mmija wa tofauti
 
Kaka yake kagere atua msimbazi
 
Pia kocha alishasema niyonzima na chama wanacheza mpira wa aina moja anahitaji mtu mmoja mwenye mambo tofauti na kina chama

 
We shabiki wa ombaomba fc unaulizia dau la mchezaji wa simba yanakuhusu nini...wewe ulizia dau la kindoki or yule aly aly πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
Sawa ila acha fiksi kwamba kila kitu cha simba unajua kumbe ni empty headed
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…