Simba yasajili kiungo wa Sudan, kuimarisha kikosi

Simba yasajili kiungo wa Sudan, kuimarisha kikosi

Zamu ya nani kesho saa 7 mchana ...........Nawaza tu jinsi gani viti maalumu wanavyoteseka
tapatalk_1559484571840.jpeg
 
Sawa ila acha fiksi kwamba kila kitu cha simba unajua kumbe ni empty headed
Mkuu we shabiki wa ombaomba unajuaje kama mimi najua mambo ya simba or sijui...inamaana mashabiki wa makwasukwasu mnafuatilia mambo ya simba na kuyajua kuliko sisi washabiki wa simba???
 
Habari ndio hizo Mtani. Naona watu wanamsifia tu, hivyo macho yangu na masikio yapo kwake hasa pale msimu utakapoanza.
Shadeeya unaposubiri kumuangalia ili umtoe kasoro na kutucheka Wakubwa wa pori pia ukigundua tumepata bonge la mchezaji usisite kurudi tena humu jukwaani na pongezi kedekede
 
Mwe..! Mwe..! Mutu ya Kazi, karibu Msimbazi Sharif Shiboub

Huyu atasababisha yule Ally Ally akimuona tu kwenye derby ya Simba SC na Yanga ajifunge..!SimbaNguvuMoja
We hujui ...Ally alikuwa hajifungi alikuwa anaifungia Timu yake Yanga!
 
We hujui ...Ally alikuwa hajifungi alikuwa anaifungia Timu yake Yanga!
Ndio,
Na usajiri wake hautokani na uwezo Bali Shukrani.
Toka akiwa Stand United wajibu wake ulikuwa kuifungiay Yanga magoli kila wanapokutana na timu yake.
Huyo ni kama Ngassa na Kessi
 
Back
Top Bottom