vidudi
Member
- Jun 28, 2016
- 75
- 37
bora nyinyi mumeuzoea huo mchezo cc tunaona km tumebakwaNdio washaanza mchezo wao wa kupakatwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
bora nyinyi mumeuzoea huo mchezo cc tunaona km tumebakwaNdio washaanza mchezo wao wa kupakatwa
Haya sasa AIBU YETU, AIBU YAO........(ni aibu yao wenyewe). Refa alijaribu kuwatengenezea MAZINGIRA, Kwa kuwaongezea DAKIKA akidhani wangeshinda,........Matokeo WAMELAZWA wao.........BILA AIBU NA KAMA KAWAIDA YAO......Wanadai ni GOLI la MKONO........Teeehteeeteeh...!!
Piga haoooooo Simba
hahahaa leo hawafanyi fujo..wamechezewa vizut wameridhika* Vipi huko uwanja Wa Uhuru viti havijang'olewa?
*
Kufa tu hahahahahakati ya magoli yanayouma ni hili goli la africa lyon,limeniuma sana hata kula usiku sitamani bora wangufunga dk za mwanzo tungejua tumeshindwa sisi kurudisha sasa goli dk zile asee na mpira wote tuliocheza daaah
hivi lile goli la tambwe la mkono dhidi ya simba mlimuhonga refa kiasi gani vile??Yaani wamatopeni ni shida! Wasipo honga ama drooo au kufungwa
Ile ni ukuta wa belini,tuache unazi kuna wakati nakuwa sioni ni wapi goli kitapitia[/QQUO
Mkuu umeona lilipopitia goli leo!
Heri angekaa. Jamaa hawana huruma wamemtoa na bikra kabisaEbu tulieni kisha nipeni updates za uhakika!
Mnasema mnyama mnyamani kakaa?
upewe tuzo Mkuu hongera!Simba 0 - 1 A.Lyon
Lyon mmbandue uyoo simba wa maonyeshooo
Laki tatuhivi lile goli la tambwe la mkono dhidi ya simba mlimuhonga refa kiasi gani vile??
Ilishachuja hii ujue....hivi lile goli la tambwe la mkono dhidi ya simba mlimuhonga refa kiasi gani vile??