Simba kafungwa katika mpira kitu cha kawaida mno hassa baada ya matokeo mazuri. illa nilishawahi kupost hapa JF simba wanahitaji mshambuliaji mmaliziaji wasitegemee viungo kila mara mavugo na huyo blagnon hawaonyeshi umuhimu simba wanakosa magoli sana sio wazuri au hawaendani na mpira wa simba. ni lazima wapate mshambuliaji mmoja mzuri na mwingine kiwango cha kati. la sivyo watashinda kwa tabu au kushindwa wanapocheza na timu inayo paki basi. mechi hii ni onyo wafanyie kazi safu hii. Na la mwisho goli kipa ni mzuri kupanga timu illa ni mbovu sana katika kudaka.