Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
mhhh ategemee matusi pindi atakapofanya kinyume na matarajio ya wajukuu wa Mzee Kilomoni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahaaaaa.....!! Hawana namna, ni kupigwa tu.hahaha kuwatisha vyura fc
Mkuu mbona Diamond anauza karanga na bado ana-perform vizuri kwenye music!!?Hili jambo sio,mimi ni Simba damu lakini sikubaliani na viongozi kuendelea kutusajilia wauza Machungwa na Matikiti wa Brazil
Ina maana huko India hakuna washambuliaji hadi beki awe tòp score..Sifa zake akisimama namba 5 anakaba hadi kivuli, Zahera nae akizingua anakabwa...
Kule ligi ya india ndiyo alikua top scorer magoli 20 ya vichwa,10 ya mguu wa kushoto bila kusahau 12 ya visigino unambiwa anafunga hadi kwa ulimi...
hahahaha hata akifumba macho goli halikosiSifa zake akisimama namba 5 anakaba hadi kivuli, Zahera nae akizingua anakabwa...
Kule ligi ya india ndiyo alikua top scorer magoli 20 ya vichwa,10 ya mguu wa kushoto bila kusahau 12 ya visigino unambiwa anafunga hadi kwa ulimi...
Youtube kila mchezaji ana highlights nzuri mkuuHuyuu jamaaa bonge ya beki,nimetoka kumchungulia You tube
Naelewa Mkuu,lakini mchezaji mzuri anaonekana hata kwa hizo highlights tuYoutube kila mchezaji ana highlights nzuri mkuu
Kuna wachezaji wengi wenye viwango Congo, Zambia au Zimbabwe, hao vinyozi watughalimuMkuu mbona Diamond anauza karanga na bado ana-perform vizuri kwenye music!!?
Shadeya napenda mrusha rohoUmemtag Shadeeya kumringishia 😂😂
Ataita maji mma 😂😂😂😂Shadeya napenda mrusha roho
na mwaka huu atapungua,
Sanchez magoli hafai kabisa Pacha. Ananiringishia eti.Umemtag Shadeeya kumringishia 😂😂