Simba yatambulisha beki Mbrazil

Simba yatambulisha beki Mbrazil

Garasa hilo! Kama alicheza na akia casamiro ilikuaje akabaki kuja kucheza ndondo msimbazi ...ingetakiwa simba wakamchomoe pale Madrid au PSG
 
Mkuu wote ulioanza nao chekechea wote mlifika Chuo kikuu? Kumfananisha na kutoa mfano wa watu aliocheza nao nikichekesho,yeye alikwama wapi hadi kuja east Africa? Brazil ni nchi yenye vipaji vingi vya soka ila siyo kila mtu toka Brazil ni mchezaji wa mpira
Unadhani hawalijui hilo ila ni wabishi tu hawa.

Ukiona Mbrazil anawacha kucheza soka kwenye ligi zenye upinzani Ulaya basi jua hilo ni garasa tu japo mwisho wa siku anaweza kung'ara tu kwani Ligi yetu ni ya kawaida kabisa na ndio sababu hata wazee kama Kagere wakija wanang'ara. Teh teh teh.
 
Sanchez magoli hafai kabisa Pacha. Ananiringishia eti.

Japo nashangaa mbona mlitushangaa sana kipindi kile tunawasajili kina Jaja iweje leo hii na nyie mnaleta hao hao wa Brazil?
Alio cheza nao Allison kaamua enda Liverpool, cotinhooo Barcelona, neymer PSG
Fraga kaamua kuja simba Tanzania.

hahaha mtani acha mfananisha fraga na wauza matunda wakina Jaja waliokuja kuchuma pesa.
 
Muda utaongea Mtani. Na ndio itakuwa mwanzo wa kujua pumba na upi mchele. πŸ˜€πŸ˜€
haha Nakuona ulivyo andika kinyonge.

Alafu unaambiwa huyu kwenye Viwanja
Kama vya kinesi na bandari vile ndo anakuwa hatari kweli kweli
 
Sanchez magoli hafai kabisa Pacha. Ananiringishia eti.

Japo nashangaa mbona mlitushangaa sana kipindi kile tunawasajili kina Jaja iweje leo hii na nyie mnaleta hao hao wa Brazil?

Hivi pacha ilikuwaje ukajiweka timu ya kimasikini na mbovu hivo😁😁

Hebu mtarajiwa Sanchez magoli tumshawishi aje ushuaniπŸ˜‚πŸ˜‚
 
Hivi pacha ilikuwaje ukajiweka timu ya kimasikini na mbovu hivo😁😁

Hebu mtarajiwa Sanchez magoli tumshawishi aje ushuaniπŸ˜‚πŸ˜‚
Ukisikiaga yanga lia lia ni huyu Shadeeya
Mzee akilimali kasha mnywesha kopo lenye maji ya njano.

Hatua alizo chukua kuikwepa presha ni kutoangalia mechi, yeye mletee matokeo tu baada ya dk 90
 
Alio cheza nao Allison kaamua enda Liverpool, cotinhooo Barcelona, neymer PSG
Fraga kaamua kuja simba Tanzania.

hahaha mtani acha mfananisha fraga na wauza matunda wakina Jaja waliokuja kuchuma pesa.
Mnajuaga sana kujikaza Mtani yaani ashindwe hata kwenda Misri huko aje Tz na bado munamuona kifaaa. Aiseeeee.
 
Ukisikiaga yanga lia lia ni huyu Shadeeya
Mzee akilimali kasha mnywesha kopo lenye maji ya njano.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Hatua alizo chukua kuikwepa presha ni kutoangalia mechi, yeye mletee matokeo tu baada ya dk 90
Umesahau Mtani jinsi umeme ulivyonitesaga eee? 😎😎😎

Natumai msimu ujao Tanesco hawatarudia ile tabia. Teh teh
 
Back
Top Bottom