Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
Yah! Angalau kule Mtani.hahaha; aende kwa yule tuliemfunga kwa mkapa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yah! Angalau kule Mtani.hahaha; aende kwa yule tuliemfunga kwa mkapa?
hahahaha; nakuonea huruma Mimi mtani.😂😂😂😂
Umesahau Mtani jinsi umeme ulivyonitesaga eee? 😎😎😎
Natumai msimu ujao Tanesco hawatarudia ile tabia. Teh teh
Mtani Mimi na yule sasa hivi ni sawa tuYah! Angalau kule Mtani.
Msimu huu toneane huruma wote Mtani sababu hata sisi si haba hivyo muandae miamala kabisa na la sivyo Ubingwa mutaishua kuusikia tu.hahahaha; nakuonea huruma Mimi mtani.
Hivyo kufika naye quarter final Mtani basi ndio mshakuwa sawa eee?Mtani Mimi na yule sasa hivi ni sawa tu
Ndiyo mana nyinyi timu ndogokwenye club bingwa mtaanzia hatua za awali kabisa ambazo sisi na al ahaly hatuta kuwemo
HahahaHivyo kufika naye quarter final Mtani basi ndio mshakuwa sawa eee?
Haya bana Mtani muda utaongea.
Mmeshanza Ku ongelea mambo ya miamalaMsimu huu toneane huruma wote Mtani sababu hata sisi si haba hivyo muandae miamala kabisa na la sivyo Ubingwa mutaishua kuusikia tu.
Tofauti ya wabrazil wa Maximo na hawa wanaoletwa na Simba wale wa Maximo waliletwa kiurafiki lakini hawa wa Simba wamechunguzwa kiumakiniSanchez magoli hafai kabisa Pacha. Ananiringishia eti.
Japo nashangaa mbona mlitushangaa sana kipindi kile tunawasajili kina Jaja iweje leo hii na nyie mnaleta hao hao wa Brazil?
Haya ni maneno tu ya kuficha zile kauli zenu Mkuu.Tofauti ya wabrazil wa Maximo na hawa wanaoletwa na Simba wale wa Maximo waliletwa kiurafiki lakini hawa wa Simba wamechunguzwa kiumakini
wale wa Maximo ni kama usajili wa zahera kwa Kindoki siku Zahera anaondoka na Kindoki siku hiyohiyo wanamfungashia viragoHaya ni maneno tu ya kuficha zile kauli zenu Mkuu.
Eti alikuwa na Neymar na Cotinho😂😂😂😂Unadhani hawalijui hilo ila ni wabishi tu hawa.
Ukiona Mbrazil anawacha kucheza soka kwenye ligi zenye upinzani Ulaya basi jua hilo ni garasa tu japo mwisho wa siku anaweza kung'ara tu kwani Ligi yetu ni ya kawaida kabisa na ndio sababu hata wazee kama Kagere wakija wanang'ara. Teh teh teh.
Tuwaambie tu aisaidii sababu angekuwa mbora saa hizi angekuwa anakimbizana nao huko Ulaya. 😀😀😀Eti alikuwa na Neymar na Cotinho😂😂😂😂
Hapo akisema anataka kusajiliwa na Yanga badala ya Simba utakua tayari kubadili kauli yako Shadeeya?Tuwaambie tu aisaidii sababu angekuwa mbora saa hizi angekuwa anakimbizana nao huko Ulaya. 😀😀😀
Ilitokea tu halafu huwezi amini Watoto wako na Baba yao wote ni Simba lialia
Umeona eeehTuwaambie tu aisaidii sababu angekuwa mbora saa hizi angekuwa anakimbizana nao huko Ulaya. 😀😀😀
Garasa ka hilo wala halina nafasi kwenye Timu ya Wananchi. 😎😎😎Hapo akisema anataka kusajiliwa na Yanga badala ya Simba utakua tayari kubadili kauli yako Shadeeya?
Unanikumbusha msemo wa wahenga "Sizitaki mbichi hizi"Garasa ka hilo wala halina nafasi kwenye Timu ya Wananchi. 😎😎😎