OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Mitetea mmejaa humu kutafuta mashimo ya kutaga. Tageni haraka mayai kukamulie jichoBado hawajataja gharama za mkataba?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mitetea mmejaa humu kutafuta mashimo ya kutaga. Tageni haraka mayai kukamulie jichoBado hawajataja gharama za mkataba?
Ni kama bilioni 5.2 kwa mwaka. Uto wao ni bilioni 4.1 kwa mwaka. Nadhani brand kubwa imeshajulikana.
Ni ushamba tu, mishabiki ya Utopolo ipo hivyo, Waambie waende na Hand bag wakachukue nafasi ya CEO Barbara.Alijichanganya kivipi sasa? Mwanaume kuwa na wivu na mwanamke ni aibu kubwa sana. Ulitaka wewe ndio uwe CEO?
Dah!... Kwa mwaka ni kama Billion 5 na millioni mia 2 thelathini na upuuzi kadhaa....
sikuwahi kujua kama ni hater,bora utuchukie wanaume wenzio basiMo alijichanganya sana kumleta huyu malaya wake Simba Sc
Hili swali la ajabu. Yaani pesa yenu mnauliza kwa Mudy? Wewe unaweza hata uliza kwa mwanaume mwenzio mkeo yupo wapi.MIMI NINA SWALI KWA MUDY, B20 ZETU ZIKO WAPI?
Hata ule wa bilion 20.....ambao umeinunua KOLO fc kwa maisha yote....mlisema Ni mkataba mnono
Now mmekuja na mama...beti
MAKOLO mmerogwa nyie [emoji23][emoji23][emoji23]
Unaizungumzia Simba ipi?
MIMI NINA SWALI KWA MUDY, B20 ZETU ZIKO WAPI?
Mkataba ndio ule ule wa M bet bilion 12.5 kwa miaka mitano. Kama walifikiri ni siri hakuna siri ya watu zaidi ya kumi. Watakacho fanya ni kuwalaghai mashabiki wa mbumbumbu fc.
Mo alijichanganya sana kumleta huyu malaya wake Simba Sc
Nawaambieni tu kuwa yule sport pesa hajafikia viwango vya kuitwa MdhaminiShhhh! asikusikie OKW BOBAN SUNZU
Good start kuelekea moja ya club 10 Africa.Dah!... Kwa mwaka ni kama Billion 5 na millioni mia 2 thelathini na upuuzi kadhaa....
Hongera Simba, hongera uongozi wa Mnyama.
Simba 🦁 🦁.. nguvu moja..💪💪💪
OKW BOBAN SUNZU Ghazwat Scars
Naona umekusanya haters wote ukatia mfuko wa shatiNawaambieni tu kuwa yule sport pesa hajafikia viwango vya udhamini
Yule ni muhisani
Unatumia akili za wapi kusema thamani ya team ni Tshs 20 B...... sikiliza nikueleweshe hizo 20B ni thamani ya asilimia 49 Mo alizo nunua miaka minne iliyopita... kwa sasa asilimia 49 haziwezi tena kuwa na thamani ya 20B. nashangaa watu mnaongelea 20B ya miaka minne iliyo pita.Thamami ya team 20B thamami ya mkataba kwa miaka mitano 26B [emoji36][emoji36] basi sawa
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Mnahamisha magoli tu, Uto unasubiri uwanja wa Mnyama unakuhusu vipiTwasubiria tuone ujenzi wa kiwanja ili thamani halisi ya mkataba ionekane hadharani
Yeah kama wao walivyokusanya magofu na kutia kwenye jersey yaoNaona umekusanya haters wote ukatia mfuko wa shati
akili utumbo huwezi kujua 20b ni 49% tuThamami ya team 20B thamami ya mkataba kwa miaka mitano 26B [emoji36][emoji36] basi sawa
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Mo alijichanganya sana kumleta huyu malaya wake Simba Sc
View attachment 2310927
Mkuu labda kinakuuma huyu dada kuumbwa sura nzuri na Mungu
Simba SC imejitengenezea Kijiji cha kipekee, hayo ya kwako yaaniHayo yote bila ubingwa na kuifunga yanga ni hewa tu kwa mashabiki