Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Timu ishinde sio blah blah, sahizi kuibetia simba kuna 100% uwezekano wa kupotezasasa kwani lake baya nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Timu ishinde sio blah blah, sahizi kuibetia simba kuna 100% uwezekano wa kupotezasasa kwani lake baya nini?
Hata mie nimemshangaa sana leo, khaaaaah.sikuwahi kujua kama ni hater,bora utuchukie wanaume wenzio basi
Usicheke mkuu, ila ki ukweli kuna vitu vinadhangaza tena kufanywa na mwanamme dhidi ya mwanamke. Sijaona huo ufhamini unahusiana vipi na kuanza kumtolea shombo mdada wa watu.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Toka aje simba hamna utulivu ni kufukuza makocha na wachezaji tu. Mwishowe kufungwa hovyo tuMmmmmh sijazoea ukileta comment ya hivi, acha chuki kwa babra lol.
Kama ni hivyo mkuu kosa la CEO mbaka umkashfu ni lipi? Si utoe ushauri tu kama tufanyavyo hapa. Haya mkeka wa Mbet huo hapo. CEO kazingua wapi?Sio kosa kuwa na hisia naye kimapenzi japo hutakaa umle mzee, mi focus yangu ni ushindi wa club. Sio kufungwa hovyo hovyo
Acha chuki kWa mtoto wa kike.Toka aje simba hamna utulivu ni kufukuza makocha na wachezaji tu. Mwishowe kufungwa hovyo tu
ah uhakika mwanawane yaani mtoke kwenye udhamini wa 1billion to 5billion alafu mshindwe kushinda ligi ya nbc sii utani huo. hii ligi ata tukuweke wewe hapo simba mbona unashinda tuu bila wasiwasi.Timu ishinde sio blah blah, sahizi kuibetia simba kuna 100% uwezekano wa kupoteza
Huoni aibu kuandika uongoToka aje simba hamna utulivu ni kufukuza makocha na wachezaji tu. Mwishowe kufungwa hovyo tu
Kosa simba kutoa sare na kufungwa hovyoKama ni hivyo mkuu kosa la CEO mbaka umkashfu ni lipi? Si utoe ushauri tu kama tufanyavyo hapa. Haya mkeka wa Mbet huo hapo. CEO kazingua wapi?
sasa hivi lini mkuu. wakati ligi haijaanza? Halafu Simba sio kusanyiko la malaika, Wana flop Man U itakuwa Simba?Timu ishinde sio blah blah, sahizi kuibetia simba kuna 100% uwezekano wa kupoteza
Uto kapambaneni na viongozi wenu, wanaowakimbia, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tatizo sio sura, isipokuwa ujuaji na dharau nyingi sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nyie nacheka km chizi. Eti nn??Nafikiri huu ni muda sahihi sasa kwako kwenda kuchukua nafasi ya Barbra ili akubandue vizuri.Maana siyo kwa wivu huu.
Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
Mkuu yule mama anapiga kazi vizuri tatizo wale wapigaji wamebanwa ndo maana wanamchafuaga.Kosa simba kutoa sare na kufungwa hovyo
Mwenye Financial statements za M-bet atuwekee hapa tujadili kwa uhalisia sasa.Mimi nabaki najiuliza, wale waliokuwa wamekomalia eti mkataba wa Simba na M-bet ni 15b per 5 yrs walikuwa wametoa wapi hizo data??
Tukawaambia "Jamani simba walisema watatangaza thamani ya mkataba tar 1 Aug" lakini wapi wakakomaa tu.
Hata huko twitter wale wanaojiita wachambuzi nao wakakomalia hilo hilo.
Itoshe kuhitimisha kuwa "Hii nchi ina WAPUMBAVU wengi sana, Hata kwenye lile kundi la watu wanaojiita wasomi, nako kumejaa wapumbavu wengi sana.
umekuwa mpole unauliza mambo kwa nidhamu kubwa kabisa 👌👌👌Hivi vikampuni vya kubet itakuwa vina mpunga sana...