Otorong'ong'o
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 37,957
- 26,414
Jinyonge ufe basi....Kwikwikwiwkiwi....Simtegemei mtu boya ww, utaishia kula kwa macho tu
SImba UNSTOPABLE>>>>HATUZUILIKI
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jinyonge ufe basi....Kwikwikwiwkiwi....Simtegemei mtu boya ww, utaishia kula kwa macho tu
Kwenye hili nakuunga mkono.Toka aje simba hamna utulivu ni kufukuza makocha na wachezaji tu. Mwishowe kufungwa hovyo tu
Hayana akili haya ma uto hapo hata mia hana eti anataka bilioni 20 zakeHili swali la ajabu. Yaani pesa yenu mnauliza kwa Mudy? Wewe unaweza hata uliza kwa mwanaume mwenzio mkeo yupo wapi.
Thaman ya Simba billion 20 Ila imeingia mkataba wa billion 26Mitetea mmejaa humu kutafuta mashimo ya kutaga. Tageni haraka mayai kukamulie jicho
Makocha kufukuzwa hiyo ni desturi ya club zote ila kwa hapa ndani imekuwa extreme. Hata kabla ya babra kuja bado kulikuwa na timua timua ya makochaToka aje simba hamna utulivu ni kufukuza makocha na wachezaji tu. Mwishowe kufungwa hovyo tu
Lazima usafishe palipochafuka mkuu upange safu vizuri team isonge mbeleKwenye hili nakuunga mkono.
Duuuh ko wachezaji wakiwa chini ya kiwango wabaki? Au kocha asipotimiza malengo ya club aachwe?? Yaan huu msimu m1 ndo barbrah anaonekana mbaya?? Mmmh extrooo hapana hauko serious.Toka aje simba hamna utulivu ni kufukuza makocha na wachezaji tu. Mwishowe kufungwa hovyo tu
Tuache umbea vijana utoe huo mkataba wa b12. Usishangae ni mhitimu wa chuo kikuu halafu unaongea vitu vya kusikiaMkataba ndio ule ule wa M bet bilion 12.5 kwa miaka mitano. Kama walifikiri ni siri hakuna siri ya watu zaidi ya kumi. Watakacho fanya ni kuwalaghai mashabiki wa mbumbumbu fc.
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] daaaah, aseeeeh.Usicheke mkuu, ila ki ukweli kuna vitu vinadhangaza tena kufanywa na mwanamme dhidi ya mwanamke. Sijaona huo ufhamini unahusiana vipi na kuanza kumtolea shombo mdada wa watu.
Siku hiz Kuna betting kila mahali, media zote, bet kwa buk, mpira bet ,Alafu watu wenyewe wanao bet maisha yao magumu
Ukisafisha nyumba uchafu unatupwa njeKwenye hili nakuunga mkono.
Simba gani inafungwa hovyo hovyo
Tena kanyoooka km rulaaaaaaa, ahsanteeeeeeeh.CEO wetu ni mchapakazi kinachomfanya asipendwe ni kwasababu hapendagi uswahili,yeye ni mtu wa kazi hanaga mbambambaaaaa.
Roho zinawauma bure tu, lakini hata nyinyi mnajua kuwa umaarufu wa Simba Sc na ufikiaji wa hatua kubwa (Brand) ni mkubwa kuliko ule wa kwenu (Yanga Sc).Hata ule wa bilion 20.....ambao umeinunua KOLO fc kwa maisha yote....mlisema Ni mkataba mnono
Now mmekuja na mama...beti
MAKOLO mmerogwa nyie [emoji23][emoji23][emoji23]
Hizo 51% zipo wapiakili utumbo huwezi kujua 20b ni 49% tu
ni sahihi lakini kuna usafishaji mwingine unakurudisha nyuma!Lazima usafishe palipochafuka mkuu upange safu vizuri team isonge mbele