Simba yatangaza mkataba wa TSH Bilioni 26.1 kuanzia leo Agosti 1, 2022

Simba yatangaza mkataba wa TSH Bilioni 26.1 kuanzia leo Agosti 1, 2022

Duuuh ko wachezaji wakiwa chini ya kiwango wabaki? Au kocha asipotimiza malengo ya club aachwe?? Yaan huu msimu m1 ndo barbrah anaonekana mbaya?? Mmmh extrooo hapana hauko serious.

Al Ahly wametimua pitso kisa kukosa CAFCL mwaka huu, au hukuona?? Kuna team isiyofungwa duniani??
Anashangazwa sana kutojua mambo rahisi kama haya..!
 
MIMI NINA SWALI KWA MUDY, B20 ZETU ZIKO WAPI?
Nadhani ni vyema ukaja na document zinazoonyesha ni wapi zilipo zile 40B za Azam, bila kusahau zile mlizosaini juzi na SPESA.


Ukiweza kuzileta hapa na kila mtu akaamini, sidhani kama kuna shabiki yoyote yule wa Simba Sc atashindwa kukuonyesha zile 20B za MO zilipo.
 
Duuuh ko wachezaji wakiwa chini ya kiwango wabaki? Au kocha asipotimiza malengo ya club aachwe?? Yaan huu msimu m1 ndo barbrah anaonekana mbaya?? Mmmh extrooo hapana hauko serious.

Al Ahly wametimua pitso kisa kukosa CAFCL mwaka huu, au hukuona?? Kuna team isiyofungwa duniani??
Tena barbra ana huruma,mimi boko,nyoni,muzamilu,gadiel,kagere,mugaru ningewapiga risasi kabisa
 
Mbona mnapovukwaaa?.hamuamini macho yenu?.simba inawaanzishia nyinyi kazi yenu ni kuja kunakili. We are unstoppable
Club zishauriwe zisiwe zinaingia mikataba zaidi ya miaka 3. Miaka 5 ni mingi mno, mambo yanaweza kubadilika kwa kiasi kwamba ukiwa na mkataba wa muda mrefu unaweza baki unaugulia maumivu ya mkataba.
 
Roho zinawauma bure tu, lakini hata nyinyi mnajua kuwa umaarufu wa Simba Sc na ufikiaji wa hatua kubwa (Brand) ni mkubwa kuliko ule wa kwenu (Yanga Sc).

Mfano mzuri ile VIST TZ ingekuwa na mchongo wa hela unadhani ni nani alistahili kunufaika nayo, incase vilabu viwili vingeamua kitumiwa?

Brand ya Simba Sc ni kubwa kuliko ile ya Yanga.
Waelezeeeeeeeeeee!!!!! Woyooooooooooooh
 
Nadhani ni vyema ukaja na document zinazoonyesha ni wapi zilipo zile 40B za Azam, bila kusahau zile mlizosaini juzi na SPESA.


Ukiweza kuzileta hapa na kila mtu akaamini, sidhani kama kuna shabiki yoyote yule wa Simba Sc atashindwa kukuonyesha zile 20B za MO zilipo.
sawa
 
Tena barbra ana huruma,mimi boko,nyoni,muzamilu,gadiel,kagere,mugaru ningewapiga risasi kabisa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Club zishauriwe zisiwe zinaingia mikataba zaidi ya miaka 3. Miaka 5 ni mingi mno, mambo yanaweza kubadilika kwa kiasi kwamba ukiwa na mkataba wa muda mrefu unaweza baki unaugulia maumivu ya mkataba.
Terms ni win win situation, usiizungumzie Simba tu. Vaa viatu vya M-bet, ili watoboe wamedinda miaka 5 utafanyaje kama hakuna dau nono la miaka 3? Kumbuka M-Bet hakuwa peke yake, kulikuwa na Evaluation Committee yenye wasomi wakichekecha mikeka
 
Sidhani kama Simba Sc wangeachana na Spesa ikiwa alikuwa na masilahi makubwa kuliko yale ya M-bet, walipiga hesabu wakaona faida ipo huko.

Lakini pia haileti hamasa za kiuwekezaji ikiwa Spesa pekee ndio atakuwa anahodhi mikataba na team zote kubwa za Simba Sc& Yanga Sc.
 
Kwa Mara Ya Kwanza
Kwa Mara Ya Pili
Kwa Mara Ya Tatu Na Mwisho, Top Top Top (Juu Juu, Mbele Mbele)


Mawinguni Haa Haa
 
Duuuh ko wachezaji wakiwa chini ya kiwango wabaki? Au kocha asipotimiza malengo ya club aachwe?? Yaan huu msimu m1 ndo barbrah anaonekana mbaya?? Mmmh extrooo hapana hauko serious.

Al Ahly wametimua pitso kisa kukosa CAFCL mwaka huu, au hukuona?? Kuna team isiyofungwa duniani??
Simba haitakiwi kufungwa
 
Back
Top Bottom