cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Nipoooo, hapa ni uwanja wangu wa nyumbani.Nilijua kabisa, hauwezi kukosekana hapa[emoji23].
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nipoooo, hapa ni uwanja wangu wa nyumbani.Nilijua kabisa, hauwezi kukosekana hapa[emoji23].
Ndio, tupe thamani ya uto kwa 49%. Pia jaribu kuongeza maarifa kuhusu masuala ya uwekezaji ili usaidike pia kwenye maisha yako ya kawaida.Akili mi ya nini,kwahiyo asilimia 49 Kwa timu kama Simba ndiyo iwe 20B pekee?
We msengenyaji unaonekana kuumia sana demu mwenyewe hugongi ila shobo dundo tuWe Boya acha wivu ulitaka usuguliwe kinyeo bila wese wewe?
Una nafasi ya kuwekeza katika hizo 51%, japo najua hauna hata 50M benki.
TRA kazi yao ndio hiyo au umekurupuka tu kuandika???Unafikiri TRA wasingeingilia deal ikiwa kungekuwa na ubadhilifu wa hela kwa namna yoyote ile??
Yani ujitaje umeingia mkataba wa mabilioni ilihali umesaini mamillion, kisha utegemee kujiendesha vizuri bila kupigwa pin na hizo mamlaka?
Sio kizembe hivyo mkuu.
Hakuna ubaya mkuuMbona unapovuka mkuu kuna ubaya gani Simba ikijenga uwanja wake?
Kuna watu wananunaNa huu udhamini ni kwa Senior team pekee... So wanaweza kutafuta mdhamini mwingine kwa ajili ya team ya Simba Queens na junior teams... Just wow
Sidhani kama thamani ya team inaweza kutathinimiwa ndani ya Asilimia 49, lakini pia hakuna namna ambayo mtu anaweza kukuelewesha wewe kwasababu:-Hongereni Mikia,ila mjiulize timu yenu Ina thamani ya bil 20 toka Kwa Mwamedi? Msipopata majibu maneno ya Rage yataendelea kuishi
Tulia we mkorea mweusi[emoji1].Mbona unapovuka mkuu kuna ubaya gani Simba ikijenga uwanja wake?
Hakuna ubaya mkuu
Ila na nyie kumbukeni swala la uwanja lipo kwenye agenda ya raisi wenu
Na swala la agenda sio kitu kipya make huko nyuma kuliwahi kuwa na watu waliokuja na agenda kama hizi
Anajitofautishaje na waliomtangulia?
Hapo ndio tunataka kumpima
Katika hiyo mikataba Kuna mambo ya Kodi Ina maana ukitoa taarifa ya uongo kwenye mapato kutakiwa na ukwepaji wa Kodi hapo tea wanahusikaTRA kazi yao ndio hiyo au umekurupuka tu kuandika???
Simba ilifanyiwa tathimini mwaka 2015-2016, kipindi hiko Simba haikuwa na thamani iliyo nayo sasa.Thaman ya Simba billion 20 Ila imeingia mkataba wa billion 26
Ni Mwigulu yule, hela za kodi ni miala zimekuja kumwagwa huku, eti unakuta mtu anashangaa M-bet kuweka huo mpunga.Usikute M Bet ndio Mo mwenyewe!
Vv
Tulia we mkorea mweusi[emoji1].
Mwanaume kumuonea mwanamke wivu ni swala la ajabu, huenda wanagombania bwanaDuuuh ko wachezaji wakiwa chini ya kiwango wabaki? Au kocha asipotimiza malengo ya club aachwe?? Yaan huu msimu m1 ndo barbrah anaonekana mbaya?? Mmmh extrooo hapana hauko serious.
Al Ahly wametimua pitso kisa kukosa CAFCL mwaka huu, au hukuona?? Kuna team isiyofungwa duniani??
Simba inafaidika afu wao utasikia wakisema jezi chafuTunatisha manina. Tik Tok waje tuwape bega kwa 1b kwa mwaka. Barbara lete matangazo mwili mzima [emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059]
Sawa ndio milioni 300 kweli? Hiyo hata mi ninayo😀😀Dunia nzima sponsor wa club hutoa bei kuliko sponsor wa ligi, kafanye utafiti
Simba wamewaingiza cha kike Yanga na SportpesaSidhani kama Simba Sc wangeachana na Spesa ikiwa alikuwa na masilahi makubwa kuliko yale ya M-bet, walipiga hesabu wakaona faida ipo huko.
Lakini pia haileti hamasa za kiuwekezaji ikiwa Spesa pekee ndio atakuwa anahodhi mikataba na team zote kubwa za Simba Sc& Yanga Sc.