Simba yatangaza mkataba wa TSH Bilioni 26.1 kuanzia leo Agosti 1, 2022

Simba yatangaza mkataba wa TSH Bilioni 26.1 kuanzia leo Agosti 1, 2022

Sasa mkuu kwann unakasirika unapotajwa uwanja wa simba. Huu ni uzi wa simba sio wa kampeni za yanga. Simba wamelamba dili kubwa itakua vyema mkipata uwanja wenu ili msipate shida na TFF kama ilivyomtokea Ceo wenu.

Ajenda ya uwanja mnayo kitambo na michango mmeshatoa wanachama,na Mo alishahidi kitita kikubwa ukiongezea na mkataba huu uwanja unapatikana mapema tu
Mkuu kwanza elewa kuwa Sijakasirika

Ni kweli huu ni uzi wa Simba lakini umeambatanisha maoni ya wadau mbali mbali mkiewemo Yanga

Sasa kuna hoja ambazo zinaulizwa halafu ukiangalia hata huyo muulizaji timu yake ina changamoto kama hiyo anayo jaribu kutaka kujua ufumbuzi wake na wakati timu yake bado haijaonesha dira ya kutatua tatizo hilo
 
TRA kazi yao ndio hiyo au umekurupuka tu kuandika???
Ni kwasababu hujui kuwa kodi inakusanywa na hao TRA na kwamba kodi itakadiriwa kwa kuangalia vitu vingi(ikiwemo pesa kama hizi), au umeamua tu kutaka ligi ya mabishano mkuu?

Linapokuja swala la uwekezaji ambao upo wazi kitaifa ujue pua za TRA hazikosi, na kudanganya ni kazi unless iwe serikali yenyewe.

Kwahiyo kama unahisi Simba Sc aliingia mkataba wa 3B per year kama mlivyolishwa matango pori halafu katangaza 5B hadharani, ni kitu ambacho hakiwezi kutokea.
 
Maoni yangu hayajaambatana na maoni ya wengine.

Ndo maana naona umepanic sababu nilitoa maoni tu umenikurupukia na kuanza kulalamika utadhani wewe ndo mo au barbara. Kila mmoja anafahamu Yanga ina matatizo ila guvu moya mpo on fire kuanzia mipango ya uwanja hadi uwekezaji wa mo bila kusahau mkataba mnono toka mbet na pia kwenye mauzo ya jezi mnapokea asilimia tele
Mkuu kwanza elewa kuwa Sijakasirika

Ni kweli huu ni uzi wa Simba lakini umeambatanisha maoni ya wadau mbali mbali mkiewemo Yanga

Sasa kuna hoja ambazo zinaulizwa halafu ukiangalia hata huyo muulizaji timu yake ina changamoto kama hiyo anayo jaribu kutaka kujua ufumbuzi wake na wakati timu yake bado haijaonesha dira ya kutatua tatizo hilo
 
Hata ule wa bilion 20.....ambao umeinunua KOLO fc kwa maisha yote....mlisema Ni mkataba mnono

Now mmekuja na mama...beti
MAKOLO mmerogwa nyie [emoji23][emoji23][emoji23]
Wamepika ili ionekane wanawazidi Yanga jamaa kweli ni mambumbumbu wa kiwango cha PhD[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Inaonekana watu wanaliwa vibaya sana hizo pesa ni mingi sana.
Hivi hakuna sheria zinazoyabana makampuni ya betting kutoa Audited and Detailed Financial statements kila mwaka?
Ikiwekwa hii sheria tutajua mbivu na mbichi inaonekana Market share ni kubwa sana
Kwani wanashikiwa bunduki?
 
Unafikiri TRA wasingeingilia deal ikiwa kungekuwa na ubadhilifu wa hela kwa namna yoyote ile??


Yani ujitaje umeingia mkataba wa mabilioni ilihali umesaini mamillion, kisha utegemee kujiendesha vizuri bila kupigwa pin na hizo mamlaka?

Sio kizembe hivyo mkuu.
Pia ukumbuke kuwa mikataba lazima ilipiwe kodi, hivyo hawawezi kubali taja kiasi ambacho sio sahihi wakati kodi analipa Simba
 
Ni Mwigulu yule, hela za kodi ni miala zimekuja kumwagwa huku, eti unakuta mtu anashangaa M-bet kuweka huo mpunga.

Ila sio deal baya, ninachoamini ndani ya miaka mitano M-bet hawatakuwa kama walivyosasa.
Kumbee,,! Ndo mana siku moja alipost picha kavaa Jez ya simba,,,
 
Back
Top Bottom